Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Kwa nin inauzwa , mana kuna nyumba zingine zinakuwa na majitu mwitu msitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona bei ya kutupa au hailaliki na mambo ya African chemistry [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Una huakika ni ya kisasaSalaam,
Nyumba inapatikana UKONGA (kitunda)
Umbali wa km 5 kutoka nyerere road
MAELEZO
nyumba ina vyumba vitatu (1self contained)
Dinning room, seating room, kitchen, store, & public toilet.
Eneo lake ni sqm 480
Eneo tayari limeshapimwa.
Maji na umeme tayari
With Tiles & gypsums
Price 25m
Call: 0756 832833
View attachment 1121698View attachment 1121699View attachment 1121700View attachment 1121701View attachment 1121703View attachment 1121705
Sana , kwa nyumba ilivyo na bei ya 25m basi mnunuzi atapata zaidiBei rafiki kabisa mkuu!
Mkuu hii nyumba bado ipo?Waswahili hatukosi cha kusema
Anyway ni nyumba ya kizamani.
kwaio wewe ni dalali?Na hapo kuna mtu alienda kuikagua, amempa ofa mwenye nyumba ya 15m
Shida kweli
nijibu kaka ili nijueTatizo lako nin!
inaathiri coz Dalali uongeza cha juuNa kwanin isiwe 2m iwe 3m?
Anyway hakuna haja ya kuleta malumbano yasiyo na ulazima.
Iwe Dalali au mmiliki kama ni mhitaji haiathiri chochote.
hapo kwenye ya kisasa
Tuna mpango ifike mpaka pugu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Airport IPI unayozungumzia mkuu.
Kama ni ya JNIA imeishia kipunguni, na sio KITUNDA.
duh mi nasubili ya elfu 50Mpaka uyu mzee anaondoka tutanunu nyumba kwa laki
Kitunda ipo km 5 kutoka nyerere rd mkuuSalaam,
Nyumba inapatikana UKONGA (kitunda)
Umbali wa km 5 kutoka nyerere road
MAELEZO
nyumba ina vyumba vitatu (1self contained)
Dinning room, seating room, kitchen, store, & public toilet.
Eneo lake ni sqm 480
Eneo tayari limeshapimwa.
Maji na umeme tayari
With Tiles & gypsums
Price 25m
Call: 0756 832833
View attachment 1121698View attachment 1121699View attachment 1121700View attachment 1121701View attachment 1121703View attachment 1121705
hhhhhhhhMbona bei ya kutupa au hailaliki na mambo ya African chemistry [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tuambie mkuu unaingilia wapi kitokea pugu rd mpaka inaipata hiyo kitunda. Unaingilia airport au banana?kutoka nyerere road (old pugu road) mpaka kitunda ni 3.5km (inapoishia lami)
Kama una data sahihi zaidi unaweza kuziweka kwa faida ya wengine pia.