Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ya tope!!!!M14 si najenga na nahamia
Kiwanja bei gani?Nyumba inapatikana PUGU (kigogo fresh)
Eneo lenye nyumba (KIWANJA ) ni sqm 800 (40*20)
Ramani ya nyumba yenye vyumba vitatu (1self contained), jiko, choo cha pamoja, sebule na dinning room.
Kutoka barabara ya lami ni meter 700
Miundo mbinu yote inapatikana (barabara, Maji na umeme)
Bei: 14m
More information: 0756 832833
View attachment 1159442View attachment 1159444
Kwa kawaida kuku hulala bandani. Hiyo inatosha kabisa kujenga na kuhamia kuku.M14 si najenga na nahamia
Nadhani alitaka kuweka umeme ndio aanze kupaua. Hivi vyuma vinachanganya sana mkuu wangu.hio nguzo hapo vipi, si ni kwamba nyumba iko barabarani kabisa
Sio siri mkuu, sasa hapo tofali ilipofikia halafu mtu anaibwenga si hatari kubwa.Nadhani alitaka kuweka umeme ndio aanze kupaua. Hivi vyuma vinachanganya sana mkuu wangu.
....................Aliyekudanganya nani!hivi wewe unajua hata bei ya cement mfuko mmoja inasimama shilingi ngapi?M14 si najenga na nahamia
Wewe subiri ukifukuzwa kwenu utajua gharama ya ujenzi.Kiwanja 20/40 ni mi 3-6 na inaweza zidi hapo,Fundi wa kupangaa tofali kwa siki moja ni 10k hadi 20k tofali moja ni 800-1200 cement mchanga nondo n.k.unafikiria milioni nane.Are you serious?Mpaka hapo ilipofikia si ajabu imecost milioni 8 tu.
Humu siku hizi tutoto tumekuwa twingi sana,vinaamka kwenye nyumba za baba zao vinapishana kwenye corridor na mama zao bukta kwa mbele zimetuna wanafikiri maisha ni rahisi kiasi hiko.Wewe subiri ukifukuzwa kwenu utajua gharama ya ujenzi.Kiwanja 20/40 ni mi 3-6 na inaweza zidi hapo,Fundi wa kupangaa tofali kwa siki moja ni 10k hadi 20k tofali moja ni 800-1200 cement mchanga nondo n.k.unafikiria milioni nane.Are you serious?
Kwa mahali hio nyumba ilipofika mtu kusema M8 ni kukosa heshimaHumu siku hizi tutoto tumekuwa twingi sana,vinaamka kwenye nyumba za baba zao vinapishana kwenye corridor na mama zao bukta kwa mbele zimetuna wanafikiri maisha ni rahisi kiasi hiko.
Million 8 anaona hela, kibongo bongo kwenye nyumba nzuri hiyo hela msingi tu haitoshi.
Wewe subiri ukifukuzwa kwenu utajua gharama ya ujenzi.Kiwanja 20/40 ni mi 3-6 na inaweza zidi hapo,Fundi wa kupangaa tofali kwa siki moja ni 10k hadi 20k tofali moja ni 800-1200 cement mchanga nondo n.k.unafikiria milioni nane.Are you serious?
Piga hesabu ulizopewa then useme kama bila kiwanja M8 inajenga hio nyumba,hapo kadiria tofali 1800 kwa 800 ni bei ngapi.cementi mifuko 35 minimum mchanga lori 2 maji nondo,usafiri n.k.halafu weka ufundi mafundi 3 kwa siku 20 20,000 saidia fundi 2 kwa 10000 siku 20.Gharama ya foreman,ramani etc na muda uliotumikaMimi sijazungumzia price ya kiwanja naomba unielewe, hapo nimezungumzia kwanzia msingi mpaka ilipofikia + tofali, cement pamoja na ufundi average milioni 8.
Nyumba tena nzuri, nyie ndio mnatisha watu wasijengeya tope!!!!
Piga hesabu ulizopewa then useme kama bila kiwanja M8 inajenga hio nyumba,hapo kadiria tofali 1800 kwa 800 ni bei ngapi.cementi mifuko 35 minimum mchanga lori 2 maji nondo,usafiri n.k.halafu weka ufundi mafundi 3 kwa siku 20 20,000 saidia fundi 2 kwa 10000 siku 20.Gharama ya foreman,ramani etc na muda uliotumika
Hapana .kama alizingatia ubora ,jengo pekee ni tshs 14-15mMimi sijazungumzia price ya kiwanja naomba unielewe, hapo nimezungumzia kwanzia msingi mpaka ilipofikia + tofali, cement pamoja na ufundi average milioni 8.
Hapana .kama alizingatia ubora ,jengo pekee ni tshs 14-15m
Acha zakoKwa kawaida kuku hulala bandani. Hiyo inatosha kabisa kujenga na kuhamia kuku.
Piga hesabu ulizopewa then useme kama bila kiwanja M8 inajenga hio nyumba,hapo kadiria tofali 1800 kwa 800 ni bei ngapi.cementi mifuko 35 minimum mchanga lori 2 maji nondo,usafiri n.k.halafu weka ufundi mafundi 3 kwa siku 20 20,000 saidia fundi 2 kwa 10000 siku 20.Gharama ya foreman,ramani etc na muda uliotumika