Unalazimisha hoja.Post #27 umeiona? Ninakazia:
"Bila shaka utakubaliana nami, kwetu ugonjwa ni ebola ila scientifically ni Marburg.
Kama ndivyo faida gani mswahili anapata kwa kumwambia tunakabiliwa na Marburg badala ya kumwambia anakabiliwa na Ebola anayoijua?
Akijua ni ebola si ataacha hata kula nyani na popo? Sasa Marburg atoke vipi? Ugonjwa mpya siyo?"
Inakusaidia nini kuelewa plasmodium kitabibu wakati wewe ni wa malaria kufukia madimbwi, kusafisha mazingira na kupokea dawa mseto ukatumie ndugu?Unalazimisha hoja.
Ni muhimu kuelewa kitabibu kila ugonjwa unajulikana kwa jina lake.
Kujulikana zaidi kwa ebola uswahilini hakuhalalishi Marburg iitwe Ebola.
Sijui aliyeleta huu ujinga wa kuondoa taaruki ni Nani ?
Sijui aliyeleta huu ujinga wa kuondoa taaruki ni Nani ?
Ugonjwa wa Marburg uligundulika mji wa Marburg na Frankfurt,Ujerumani...ndio asili ya jina hilo.Labda kama ghafla unataka kuiandika historia upya.
Kiswahili ni kifinyu. Ebola ni neno la kigeni lililotoholewa kwenye kiswahili. Likaeleweka na kukubalika kuhusiana na kuwa rasmi kwa ugonjwa huu.
Marburg ni neno jipya na utohozi wake au kwa kiswahili tungali jina hatuna.
Baada ya siku zote kuelezana ebola ulipokuwa kwingine kote, sasa tunataka kutoka kivingine:
"Kwa ugonjwa ule ule utokanao na kula popo au nyani, wenye dalili zile zile, kujikinga kule kule na madhara yale yale."
Mtawadanganya wajinga werevu watawang'amua.
Cc: sudan iii
Duuuh ii nchi inawajuaji wengi!! yani uko kwingine Marburg ndo inaitwa ebola
umesoma afya...ungesoma afya ungeelewa tofauti yao
Bumunda linalojifanya juvi.Tumekumbwa gonjwa hatari lenye kuuwa hadi 90% ya wahanga.
Sisi kwa tunachoita kuondoa taharuki tumependelea kuliita Marburg badala ya jina lake linalofahamika uswahilini, yaani Ebola.
View attachment 2562190
"Kwamba tumependa kutoliita koleo kwa jina lake."
Maajabu ya Mussa.
Tangu lini uswahilini neno Marburg likafahamika? Kwani gonjwa hili lilipokuwa Congo, Uganda, Guinea, Gabon, Sierra Leone au Liberia tuliwahi liita Marburg?
Katika kinachoitwa kuepuka taharuki gonjwa halipewi umuhimu wala coverage yoyote ya maana kwenye media zetu. Kwetu Simba au Yanga kwenda robo fainali ni habari kubwa, Lakini si gonjwa hili.
Maisha yanaendelea kama vile kila kitu ni sawa.
Ya nini kutoambiana ukweli wote tukajipanga kukabiliana nalo ana kwa ana kama nchi?
Tahadhali iliyotolewa na wizara na kutogusana imo. Inawezekana namna gani kwenye maisha yetu ya kawaida watu kutokugusana masokoni, magulioni, mashuleni, makanisani, misikitini, kwenye mabasi au kwenye madala dala?
Ebola si ya maji tiririka, barakoa, michaichai, matango pori wala upigaji nyungu.
Walioyasikia ya kwetu wameshtuka kuliko sisi wakati sisi tukichukulia poa. Dhidi ya gonjwa hili dunia tayari inatunyanyapaa.
Angalia Rwanda, The New Times - Rwanda on Marburg alert after Tanzania outbreak
Angalia mabeberu, BBC News - Ebola-like Marburg virus kills five people in Tanzania
Coverage zao ni makini na kamilifu (extensive and focussed). Kwetu wenge la awamu ile na njama za mabeberu bado lingalipo.
Kwanini watu wasiambiwe ukweli wote kukiwa kungali mapema? Ya nini kujidanganya?
Magonjwa haya si vita (vya kiuchumi). Ebola si corona ambayo kuuwa kwake kulikuwa hadi 2%. Hiyo hata ikihusianisha uzee na uwepo wa magonjwa mengine pia.
Kwa hakika kwenye ugonjwa huu tusipoamka mapema usanii wetu uliozoeleka, utatuumbua.
πππ Serikali iko na kazi kiukweli hadi nimemuhurumia maza sio kwa bumunda hilo kahBumunda linalojifanya juvi.
Ugonjwa wa Marburg uligundulika mji wa Marburg na Frankfurt,Ujerumani...ndio asili ya jina hilo.
Ugonjwa wa Ebola,mlipuko wake wa kwanza ulitokea Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo,kwenye kijini kilicho na mto Ebola...ndio asili ya jina Ebola.
Yamepewa majina kutokana na sehemu yalipotokea kwa mara ya kwanza.
Kwa mtu wa kawaida,asiye mtaalamu akijua malaria tu,dalili na njia za kuzuia inatosha.Inakusaidia nini kuelewa plasmodium kitabibu wakati wewe ni wa malaria kufukia madimbwi, kusafisha mazingira na kupokea dawa mseto ukatumie ndugu?
Kwa mtu wa kawaida,asiye mtaalamu akijua malaria tu,dalili na njia za kuzuia inatosha.
Kwa mtaalam wa afya,akijua Malaria pekee haitosaidia..lakini akijua na mdudu anayesababisha,Plasmodium..na species zake,life cycle yake,namna gani anasambazwa kutoka kwa mmbu,katika hatua gani mdudu anaweza kusababisha ugonjwa,dawa gani zinafaa na kwa nini dawa hizo,namna ya kumanage ugonjwa katika hatua tofauti tofauti hiyo ni nzuri zaidi,maana ataweza kuutibu ugonjwa kwa ufasaha.
πππ Serikali iko na kazi kiukweli hadi nimemuhurumia maza sio kwa bumunda hilo kah
Wapi nimetamka neno "wajinga" mjomba?Wewe ndo mwenyekiti wa uliowaita wajinga
Mkuu nimefukua fukua kuhusu hili Marburg. Liachwe jina hilo hilo kwa sababu ni balaa kubwa kuliko ebola.Tumekumbwa gonjwa hatari lenye kuuwa hadi 90% ya wahanga.
Sisi kwa tunachoita kuondoa taharuki tumependelea kuliita Marburg badala ya jina lake linalofahamika uswahilini, yaani Ebola.
View attachment 2562190
"Kwamba tumependa kutoliita koleo kwa jina lake."
Maajabu ya Mussa.
Tangu lini uswahilini neno Marburg likafahamika? Kwani gonjwa hili lilipokuwa Congo, Uganda, Guinea, Gabon, Sierra Leone au Liberia tuliwahi liita Marburg?
Katika kinachoitwa kuepuka taharuki gonjwa halipewi umuhimu wala coverage yoyote ya maana kwenye media zetu. Kwetu Simba au Yanga kwenda robo fainali ni habari kubwa, Lakini si gonjwa hili.
Maisha yanaendelea kama vile kila kitu ni sawa.
Ya nini kutoambiana ukweli wote tukajipanga kukabiliana nalo ana kwa ana kama nchi?
Tahadhali iliyotolewa na wizara na kutogusana imo. Inawezekana namna gani kwenye maisha yetu ya kawaida watu kutokugusana masokoni, magulioni, mashuleni, makanisani, misikitini, kwenye mabasi au kwenye madala dala?
Ebola si ya maji tiririka, barakoa, michaichai, matango pori wala upigaji nyungu.
Walioyasikia ya kwetu wameshtuka kuliko sisi wakati sisi tukichukulia poa. Dhidi ya gonjwa hili dunia tayari inatunyanyapaa.
Angalia Rwanda, The New Times - Rwanda on Marburg alert after Tanzania outbreak
Angalia mabeberu, BBC News - Ebola-like Marburg virus kills five people in Tanzania
Coverage zao ni makini na kamilifu (extensive and focussed). Kwetu wenge la awamu ile na njama za mabeberu bado lingalipo.
Kwanini watu wasiambiwe ukweli wote kukiwa kungali mapema? Ya nini kujidanganya?
Magonjwa haya si vita (vya kiuchumi). Ebola si corona ambayo kuuwa kwake kulikuwa hadi 2%. Hiyo hata ikihusianisha uzee na uwepo wa magonjwa mengine pia.
Kwa hakika kwenye ugonjwa huu tusipoamka mapema usanii wetu uliozoeleka, utatuumbua.
Aunt kwani mada yako umeandikiwa?Wapi nimetamka neno "wajinga" mjomba?
Mkuu nimefukua fukua kuhusu hili Marburg. Liachwe jina hilo hilo kwa sababu ni balaa kubwa kuliko ebola.
Fungua link hii
jamaa, hili gonjwa ni terminator linapangusa kwa speed mbaya.
Kibaya ni kiwa serikali yetu inadhibiti taarifa kwa umma na kuzitoa zile zinazopaswa kutolewa kwa watoto wa shule.