Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

Duh hii nchi ngumu sana. Mwamba ana force tanzania tuwe na ebola kwasababu ndo inajulikana sana uswazi.
ID za msaada kama hizi:



Huwa tunazitegemea hali ikiwa Tete.

Posts 34 Kwa miaka 5?

Mtawachuuza wajinga tu.
 

Unadhani ukweli hawaujui mjomba. Wanajitahidi kuondoa wanachoita taharuki whatever that bull shit means!
 
Kuna watu wakiota tu wanaona ni fact.
Wewe usiyekuwa na facts za ndoto majibu yako yako wapi?

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?
 
Bavicha kila kitu mnajua. Hiyo nguvu kwa nn msiitumie kumzuia sultan kula pesa za ruzuku?
Ungekuwa umejibu matatu haya Mh. DC, si ungewasaidia wajumbe wa serikali waliotimua mbio?

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?
 
Jamaa ataendelea kukaza fuvu mwisho lipasuke tiii
 
Bongo watu wanafiki sana wanakupa definition ya Ebola kinyume nyume

Wanafiki ni mnaojaribu kuusukumia uchafu uvunguni:

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?
 
Alafu hiyo virus inatokana na kula nyani Marburg ilitokea kwenye nyani wa labs huko Ujerumani mji wa Marburg na Ebola ilitokea kwanza congo magonjwa hayo yote hutokana na nyani usile hiyo kitu na kaa mbali na nyani
Kama kula nyani basi wamakonde wasingekuepo kwenye uso wa dunia mana wale watu hawaachi kitu kuanzia Nyani,tumbili,fungo,bundi,yani wana msemo wao "kila kilichoumbwa na Mungu rukhsa kuliwa" kwa kimakonde sijui wanasemaje
 
Kama kula nyani basi wamakonde wasingekuepo kwenye uso wa dunia mana wale watu hawaachi kitu kuanzia Nyani,tumbili,fungo,bundi,yani wana msemo wao "kila kilichoumbwa na Mungu rukhsa kuliwa" kwa kimakonde sijui wanasemaje

Siyo nyani tu mkuu. Inabidi awe nyani mwenye ugonjwa mkuu. Mawili hayo yaende pamoja.
 
Nimesoma comments zote inatosha nina conclude kwa kusema mtoa mada una political derangement syndrome.

Umekazania uswahilini uswahilini ndiyo naona hoja yako. Kwahiyo fact ni Marburg ipindishwe kisa waswahili wana ugeni na neno husika. Hii ni akili ya wapi?

Ungekuwa na hoja kama ungekuja na scientific arguments - ambazo kimsingi zingekua viable if perhaps wewe ni part of medical research team ambayo imefanya tafiti na ukagundua ni Ebola na si Marburg kama serikali inavyotanabaisha.
 
Sawa mkuu lakini sidhani kama Wana sababu ya kuficha

Hayo ya kuficha sijui kwa kweli

Kwani we umejuaje kwamba wameficha mkuu
Please enlighten me
 
Utahangaika sana.

Hakuna cha ebola wala babaake na ebola [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duuuh ii nchi inawajuaji wengi!! yani uko kwingine Marburg ndo inaitwa ebola

umesoma afya...ungesoma afya ungeelewa tofauti yao
Hii nchi ni kiboko!! Hawa Keyboard worriors ni shida.

Jamaa analazimisha Ebola yaanii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Utahangaika sana.

Hakuna cha ebola wala babaake na ebola [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ulidhani ni mashindano? 🤣🤣🤣

Yako wapi majibu hapa:

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?

Angalizo: "magwiji tokea kwa Ummi huko wamemwaga mbio."
 
Bumunda linalojifanya juvi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mtu wa kuitwa BRAZAJ hata kipindi cha corona alileta ujuaji wa kufa mtu humu jamvini.

Yaani ni mjuvi halafu bumunda.

Anafosi ugonjwa mpaka anatoka mishipa!

Taasisi za usalama ziwe zinawamulika hawa manipulators wa social media.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…