Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

Good.
 
Huko shuleni sijui ulienda kusoma nini na unawakilisha kundi la wajinga wengi hivi ulisoma ukaielewa ile topic ya form two inayoitwa classification kwenye biology au ulikua unakariri

Viral wanatofautiana majina huwezi ita marbug virus ebola huo ni uzwazwa kwani huko uswahilini walikua wanajua ebola before si wameaambiwa na wataalamu sasa ajabu ni nin wakiita marbug
 

Ungekuwa ulisomea la maana si ungekuwa na majibu hapa ndugu:

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?

Makelele yote ya nini kama vile umefungwa motor mjomba?

Kwamba ukipenda chongo utaita kengeza siyo?

Jibu hoja wacha viroja.
 
Hawa ni wabaya na si kama corona wa story nyingi Hawa ukileta masihara unakwenda na maji

Hakuna lolote, DOKTA UCHWARA WE!

Hata kwenye corona mlituambia tutakufa kama kuku.

Huu UKASUKU wa kukariri VITINI VYA MEDICAL SCHOOL ni tatizo katika nchi.

Tunatengeneza MEDICAL ROBOTS badala ya MEDICAL EXPERTS.
 
 
ili uwe na majibu lazima uende field mim sina majibu ndo maana sijaanzisha uzi au kuongea chochote

Nachokushangaa wewe ni kutumia stori za vijiweni kuja na conclusion ya kinachotokea kagera
 
Hakuna lolote, DOKTA UCHWARA WE!

Hata kwenye corona mlituambia tutakufa kama kuku.

Huu UKASUKU wa kukariri VITINI VYA MEDICAL SCHOOL ni tatizo katika nchi.

Tunatengeneza MEDICAL ROBOTS badala ya MEDICAL EXPERTS.
Since yesterday naona unani quote Sana

Whats wrong with you bichwa komwe

Mawazo yangu hapa yako very positive na genuinely kutoa mawazo yangu kuhusu hili tatizo

Kama unadhani comment zako zinanitoa kwenye mood that is a big no naheshimu professional yangu na wajibu wangu kwa jamii

Jamii forum put an ignore button for people like you and simply I will do that have a good day
 
Unachonishangaza ni pale unapoforce Marbug iitwe Ebola eti kwakuwa huko uswahilini kwenu haifahamiki!!! Hivi una akili kweli au kichwa kimejaa samadi!?
Kama vipi itisha press.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
ili uwe na majibu lazima uende field mim sina majibu ndo maana sijaanzisha uzi au kuongea chochote

Nachokushangaa wewe ni kutumia stori za vijiweni kuja na conclusion ya kinachotokea kagera

Huna majibu siyo? Very good!

Kaa kwa sasa hii ngoma siyo size yako. Hii mada Iko usikokuwa na majibu wewe!
 
Tunamtaji mkubwa sana wa wajinga
 
ili uwe na majibu lazima uende field mim sina majibu ndo maana sijaanzisha uzi au kuongea chochote

Nachokushangaa wewe ni kutumia stori za vijiweni kuja na conclusion ya kinachotokea kagera

Huna majibu siyo? Very good!

Kaa kwa sasa hii ngoma siyo size yako. Hii mada Iko usikokuwa na majibu wewe!

Ya vijiweni hayo ni yako ndugu.
 
Hakuna lolote, DOKTA UCHWARA WE!

Hata kwenye corona mlituambia tutakufa kama kuku.

Huu UKASUKU wa kukariri VITINI VYA MEDICAL SCHOOL ni tatizo katika nchi.

Tunatengeneza MEDICAL ROBOTS badala ya MEDICAL EXPERTS.
Na my comment was very simple kwamba Hawa wadudu wanafanana na ebola lakini si ebola na umeona upo upande nao ussuport according to your comments hapa ila naona Una personal issues tu na mimi

I am. Sorry chief I will have to ignore you so don't put your efforts anymore
 
Huna majibu siyo? Very good!

Kaa kwa sasa hii ngoma siyo size yako. Hii mada Iko usikokuwa na majibu wewe!
Ndio mim sina sababu siko field na sio part medical scientific team
Wewe una majibu gani kama hujui hata classification ya animals and plant usinlaumu mim jilaumu wewe kwa kukariru uko shuleni
 
Potea bwana Baba Swalehe.

Unapotosha watu, ikiwezekana hamia Facebook.
 
Potea bwana Baba Swalehe.

Unapotosha watu, ikiwezekana hamia Facebook.
Nipo hapa Tangu mwaka 2009 hii ni I'd nyingine wewe ni Nani kunifukuza Humu

Huna akili, you are cheap wasted sperm bao lako baba yako angemwaga chooni mtu wa hovyo Sana wewe
 

Hao aliwatambua ulimwengu:



Huyo hayuko peke yake. Yuko na wenzake.
 
Ndio mim sina sababu siko field na sio part medical scientific team
Wewe una majibu gani kama hujui hata classification ya animals and plant usinlaumu mim jilaumu wewe kwa kukariru uko shuleni
Anachanganya ebola wana present Sawa na Marburg ingawa ebola ni more virulence

Cha muhimu mpe Elimu aelewe ndicho nlichofanya

Serikali haina sababu ya kuficha aisee kwamba Ile ni ebola no haina hio sababu kabisa

Especially Serikali hii ya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…