Tunapokuwa na taifa ambalo mkuu wa nchi anakaa kimya pale raia wake wanapouliwa kinyume cha sheria hilli Tataizo kubwa. Kwanini yupo kimya?

Tunapokuwa na taifa ambalo mkuu wa nchi anakaa kimya pale raia wake wanapouliwa kinyume cha sheria hilli Tataizo kubwa. Kwanini yupo kimya?

👇

 
Kila mtanzania ana haki ya kuishi. Awe ni mharifu sio mhalifu hii ni kwa mujibu wa ibara ya 14 ya katiba JMT.

Kama ni mahalifu basi apelekwe mahakamani kwa kwa mujibu wa ibara ya 13 ya katiba ya JMT.

Hii kamata kamata ya kulazimishana kuvua nguo ili binti na baba yake walalane imetoka wapi?

Kifungu cha 14 cha sheria ya mwenendo ya makosa ya jinai ipo wazi namna mhalifu anatakiwa kukamatwa.

Sheria mama inavunjwa. Sheria za zinazohusika zinavunjwa mkuu wa nchi yupo kimya. Basi anataka watu wamalizwe.
Kama mhalifu mwenyewe unaemzungumzia ni hawa Panya Road basi wacha Mkuu wa Nchi aendelee kukaa kimya tu mpaka waishe wote, hakuna jinsi. Ila ithibitike ukweli ni Panya Road, sio kusingiziana.
 
Nahisi hamuwezi muelewa mleta mada mpaka itapokufikia lililomfikia Catherine Ruge.
Naandika kwa ufupi kwa huzuni nikiona watanzania wako nyuma kujustfy mauaji yasiyo ya haki.
 
Unawezaje ukaanza kuwatetea watu Kama panya Road walioua kujeruhi kupora watu Mali zao na kuwatesa watu wasio na Hatia? Unapata wapi ujasiri wa kuwatetea vibaka Kama hao waliokatisha maisha ya binti mdogo aliyekuwa Hana Hatia? Unapata wapi nguvu za kuwatetea hao vibaka waliowapa watu vilema vya maisha? Unapata wapi ujasiri wa kuwasemea kwa kuwatetete vibaka hao walioacha simanzi kwa familia nyingi zinazolia kila siku? Bila Shaka wewe Ni mfadhiri wao au mhusika au mnufaika wa uharamia uliokuwa unafanywa na hao vibaka,

Jibu Ni moja kwa hao vibaka kuwa watateketezwa wote bila kuacha masalia, watapukutishwa wote, watasambaratishwa wote, watasakwa popote pale walipo na Kama na wewe Ni mhusika hautakwepa mkono wa serikali hii, Kama ulitaka kuona watu wakiishi kwa hofu Basi juwa kuwa nafasi hiyo haipo Bali Sasa Ni mwendo wa majuto kwa vibaka hao, Hakuna muda wa kuwabembeleza kwa Sasa, hakuna majadiliano nao Tena, Lazima wasalim Amri Tena wakiwa kanisani , wataswagwa wote bila kuachwa kibaka yoyote, hutaki Basi andamana ili na wewe udakwe na kunyakuliwa kama kifaranga Cha kuku
 
Yule dogo mnaodai wanajinyonga vituo vya polisi wamewakosea nini?
Na wale wanaovamiwa usiku na hao panya road, kuvunjiwa nyumba zao, kuumizwa, kunyang'anywa vitu walivyonunua kwa jasho lao na baadae kuuwawa huwa wamewakosea nini hao panya road? Mfano mzuri ni ile familia iliyovamiwa kawe, kuibiwa, kujeruhiwa na baadae kale kasichana kadogo kuuwawa bila hatia. Je kosa lao lilikuwa ni nini?

Hivi wewe ndo ungekuwa baba, kaka au ndugu wa yule msichana alieuwawa kule Kawe, ungekuja kuandika ushuzi wako huu hapa?
 
Ukianza wizi na ukibaka wananchi tunakutia mawe na unakufag

Ukipanda cheo kuwa jambaz au panya mapolisi watakutia risasi na utakufa.

Waharifu wa namna hiyo ni kuwaua tu, tena kwa mateso.

Wengine achen uhalifu
Wahalifu wanaopora Mali za umma kwa kufanya ufisadi na ubadhirifu nani anawashughulikia?
 
Kila mtanzania ana haki ya kuishi. Awe ni mharifu sio mhalifu hii ni kwa mujibu wa ibara ya 14 ya katiba JMT.

Kama ni mahalifu basi apelekwe mahakamani kwa kwa mujibu wa ibara ya 13 ya katiba ya JMT.

Hii kamata kamata ya kulazimishana kuvua nguo ili binti na baba yake walalane imetoka wapi?

Kifungu cha 14 cha sheria ya mwenendo ya makosa ya jinai ipo wazi namna mhalifu anatakiwa kukamatwa.

Sheria mama inavunjwa. Sheria za zinazohusika zinavunjwa mkuu wa nchi yupo kimya. Basi anataka watu wamalizwe.
Mkuu tupe nukuu yako ya Magufuli alipopotea Saanane na Azory Gwanda.
Magufuli alikuwa makini sana katika mambo hayo.
 
Kila mtanzania ana haki ya kuishi. Awe ni mharifu sio mhalifu hii ni kwa mujibu wa ibara ya 14 ya katiba JMT.

Kama ni mahalifu basi apelekwe mahakamani kwa kwa mujibu wa ibara ya 13 ya katiba ya JMT.

Hii kamata kamata ya kulazimishana kuvua nguo ili binti na baba yake walalane imetoka wapi?

Kifungu cha 14 cha sheria ya mwenendo ya makosa ya jinai ipo wazi namna mhalifu anatakiwa kukamatwa.

Sheria mama inavunjwa. Sheria za zinazohusika zinavunjwa mkuu wa nchi yupo kimya. Basi anataka watu wamalizwe.
Yashughulikieni hukoo! unasikia kingai!??!!
 
Binafsi nahisi mleta mada na yeye ni panya road au ni mnufaika wa uhalifu unaofanywa na panya road. Hawa ndio wale watu ambao hununua vitu mbali mbali vya bei chee kutoka katika makundi hayo ya panya road.

Kwahiyo wakiuwawa mleta mada atakosa watu wengine wa kumletea mizigo ya wizi ya bei chee, ndo maana amekimbilia huku kulalamika ili apate uungwaji mkono na hatimae polisi isitishe zoezi lake la kuwaangamiza wahalifu na wauaji hao.
Bora polisi ingekuwa inapitia na huku mitandaoni kuwachunguza na kuwafuatilia hawa wanaoonesha kukerwa na hatua zinazochukuliwa na serikali katika jitihada za kurudisha amani na usalama jijini Dar es salaam na nchini kwa ujumla.
Mkuu huyu ni SKM Gang, mtu wa Mwendazake siku nyingi.
Na post zake zote ni kumpinga Mama Samia, licha ya mazuri anayofanya.
 
Kila mtanzania ana haki ya kuishi. Awe ni mharifu sio mhalifu hii ni kwa mujibu wa ibara ya 14 ya katiba JMT.

Kama ni mahalifu basi apelekwe mahakamani kwa kwa mujibu wa ibara ya 13 ya katiba ya JMT.

Hii kamata kamata ya kulazimishana kuvua nguo ili binti na baba yake walalane imetoka wapi?

Kifungu cha 14 cha sheria ya mwenendo ya makosa ya jinai ipo wazi namna mhalifu anatakiwa kukamatwa.

Sheria mama inavunjwa. Sheria za zinazohusika zinavunjwa mkuu wa nchi yupo kimya. Basi anataka watu wamalizwe.
We ni panya road?
 
Kila mtanzania ana haki ya kuishi. Awe ni mharifu sio mhalifu hii ni kwa mujibu wa ibara ya 14 ya katiba JMT.

Kama ni mahalifu basi apelekwe mahakamani kwa kwa mujibu wa ibara ya 13 ya katiba ya JMT.

Hii kamata kamata ya kulazimishana kuvua nguo ili binti na baba yake walalane imetoka wapi?

Kifungu cha 14 cha sheria ya mwenendo ya makosa ya jinai ipo wazi namna mhalifu anatakiwa kukamatwa.

Sheria mama inavunjwa. Sheria za zinazohusika zinavunjwa mkuu wa nchi yupo kimya. Basi anataka watu wamalizwe.
Mlipo kuwa mnawatuma hao panya road mkiamini mnaichafua serikali ya mama SSH haM
mkulijua hilo?
 
Acha kulalamika mjomba kama wao waliuwa basi acha na wao wauwawe. Umeshaambiwa kuwa "Mshahara wa DHAMBI ni MAUTI".

Hao mbwa koko wenu walizingua mpaka kuifanya nchi ionekane haina serikali. Sasa kibao kimewageukia unakuja kulalamika.

Mbona wakati wao (panya road) wakifanya uhalifu wa kuvunja nyumba za raia, kuiba, kujeruhi na mpaka kuuwa raia wasiokuwa na hatia mbona haukuja kuandika ushuzi wako hapa kwa waliyoyafanya?

Nashauri polisi isisitishe oparation hii mpaka ihakikishe nchi inarudi kuwa mahali salama kwa kila mmoja wetu kuishi kwa amani na furaha.
Mm mpinzani lkn naunga mkono hii hoja,hao panya road wauliwe
 
Mm mpinzani lkn naunga mkono hii hoja,hao panya road wauliwe
Kweli mkuu, hatuwezi kuwalea lea hawa mbwa kwa sababu ya kuendekeza siasa uchwara zilizoshindwa kuwaweka madarani hata hao wapinzani wenyew huko nyuma.
Kama anategemea kura kutoka katika familia za panya road na majambazi basi ajue imekula kwake.
 
Back
Top Bottom