Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

Hata hivyo ukiangalia ulaya walivyoathirika na covid huwezi kufananisha na huku
Covid haina nguvu huku kwetu
Ulaya ilipurusa mpaka wakaa sawa ile ni tauni aiseh

Unaangalia je kuathirika kwetu kulinganisha na Ulaya?

#COVID19 - Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona

Au ni kwa kujiangalia wewe na familia yako tu?

Kwani unadhani Ulaya kila familia imeathirika? Mbona huko familia zilizo nyingi hazikuathirika kabisa na ugonjwa huu?
 
Amshindw kuisingizia covid, majitu yanajifia kwa ukimwi,kansa, magonjwa ya moyo na bp nyie mnaisngizia covid19, acha wafe as long as vifo havijaanza leo wala jana...achen iman zakipuuzi mnataka masikin wafe ili hao matajil wabak nanan?? hizo bizaa zao watamuuzia nani?? au hamjui kuwa dunia bila umasikin aibalance.....acha wafu wazike wafu wao......
 
Tuendelee kujifukiza nduguzangu ama vipi, ila huyu mdudu ana association kubwa na bank account na misosi sasa wee endelea kudharau tembele tu na majani ya kunde , hakuna rangi utaacha kuona chali yangu
 
Ndani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:

1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)

Kina yakhe wangapi wameondoka kimya kimya?

Serikali iko kimya kipaumbele chake kusimamisha uchumi.

Mikusanyiko ya watu bila tahadhari iko pale pale.

Angalizo: Chanjo ya Corona si dawa ya kutibu Corona wala nyenzo pekee ya dhahabu itakayotuepusha na gonjwa hili.

Kuna Clip inatembea kuna Jamaa alikuwa kwenye summit ya covid19 yupo kwenye podium kama akastuck hivi akaanza kama kutaka kudondoka ,ikasikika sauti ya gwajima anasema mkalize chini mkalize chini ,inasemekana jamaa amevuta.
 
Zaburi 91
1 Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.

2 Nitasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.

3 Maana Yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji, Na katika tauni iharibuyo.

4 Kwa manyoya yake atakufunika, Chini ya mbawa zake utapata kimbilio; Uaminifu wake ni ngao na kigao.

5 Hutaogopa hofu ya usiku, Wala mshale urukao mchana,

6 Wala tauni ipitayo gizani, Wala uele uharibuo adhuhuri,

7 Ijapo watu elfu waanguka ubavuni pako. Naam, kumi elfu mkono wako wa kuume! Hata hivyo hautakukaribia wewe.

8 Ila kwa macho yako utatazama, Na kuyaona malipo ya wasio haki.

9 Kwa kuwa Wewe BWANA ndiwe kimbilio langu; Umemfanya Aliye juu kuwa makao yako.

10 Mabaya hayatakupata wewe, Wala tauni haitaikaribia hema yako.

11 Kwa kuwa atakuagizia malaika zake Wakulinde katika njia zako zote.

12 Mikononi mwao watakuchukua, Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.

13 Utawakanyaga simba na nyoka, Mwana-simba na joka utawaseta kwa miguu.

14 Kwa kuwa amekaza kunipenda Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu.

15 Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;

16 Kwa siku nyingi nitamshibisha, Nami nitamwonyesha wokovu wangu.
Hii ndio zaburi yangu kinga ya Corona.
 
Amshindw kuisingizia covid, majitu yanajifia kwa ukimwi,kansa, magonjwa ya moyo na bp nyie mnaisngizia covid19, acha wafe as long as vifo havijaanza leo wala jana...achen iman zakipuuzi mnataka masikin wafe ili hao matajil wabak nanan?? hizo bizaa zao watamuuzia nani?? au hamjui kuwa dunia bila umasikin aibalance.....acha wafu wazike wafu wao......

Tunatambua kwa nia ovu zilifichwa taarifa sahihi za Corona.

Tunajua lengo la kuficha taarifa ilikuwa kufanikisha visingizio vya kijinga vya vifo kama vyako.

Bila shaka wahanga wote wa Corona dunia nzima walikuwa na magonjwa mengine pia. Wenyewe wakijua au hata bila kujua.

Tunajua sehemu ya waliokuwa kwenye agenda ya kuficha taarifa za ugonjwa huu wengine wamo humu JF:

Mahasimu wa CHADEMA, Mbowe na Chanjo tukutane hapa

Uzi huo unawahusu sana hao.

IMG_20210813_115035_903.jpg


Karibu uteme nyongo.
 
Kuna Clip inatembea kuna Jamaa alikuwa kwenye summit ya covid19 yupo kwenye podium kama akastuck hivi akaanza kama kutaka kudondoka ,ikasikika sauti ya gwajima anasema mkalize chini mkalize chini ,inasemekana jamaa amevuta.

Hayo wangeelezana na nabii mfufua wafu ingependeza zaidi.

Wakiyaleta huku watakumbushwa kumkumbusha askofu wao kwenda kumfufua shujaa!
 
Amshindw kuisingizia covid, majitu yanajifia kwa ukimwi,kansa, magonjwa ya moyo na bp nyie mnaisngizia covid19, acha wafe as long as vifo havijaanza leo wala jana...achen iman zakipuuzi mnataka masikin wafe ili hao matajil wabak nanan?? hizo bizaa zao watamuuzia nani?? au hamjui kuwa dunia bila umasikin aibalance.....acha wafu wazike wafu wao......
eti majitu
 
Ni kweli mkuu inaweza kushangaza kwa matajiri kufa sana lakini hata sishangai maana na maskini wanakufa wengi tu tena tangu enzi na enzi na sio kwamba covida ndio chanzo. Dunia imeingia wakati wa kimiminika maji (Age of Aquarius) na tunajua kazi mojawapo ya maji ni kusafisha, "Nature balances itself"
Ulimwengu unarudi kwenye asili yake. Ni wakati wa matajiri kutoa hesabu kwa Muumba kwa matendo waliyoyatenda na pia kuachia nafasi kwa binadamu wengine nao kuwa matajiri.
Note:
1)Matajiri wengi huua, huiba na kutembelea nyota za maskini.
2 )Afapo mtu mwenye wafuasi wengi, roho nyingi hubaki huru kutoka kifungoni, mf. TB.Joshua na JPM.
3)Tegemea wataondoka wengi zaidi wenye uongozi,ushawishi,umaarufu na wafuasi .
 
Sometimes watu wanachomwa chanjo wanaganda damu kwenye ubongo tatizo hatuna system strong ya kufuatilia je wanaokufa ni wale wale waliokwisha chanjwa au lah
 
Sometimes watu wanachomwa chanjo wanaganda damu kwenye ubongo tatizo hatuna system strong ya kufuatilia je wanaokufa ni wale wale waliokwisha chanjwa au lah

Kabla ya kuchanjwa ilikuwa lazima kupimwa uzito, urefu, BP, sukari, Corona nk. Strictly, wenye virusi vya Corona hawakupaswa kuchanjwa.

Serikali wako busy wanasimamisha uchumi wao. Kwani maisha ya watu yana thamani kwao?
 
Tunatambua kwa nia ovu zilifichwa taarifa sahihi za Corona.

Tunajua lengo la kuficha taarifa ilikuwa kufanikisha visingizio vya kijinga vya vifo kama vyako.

Bila shaka wahanga wote wa Corona dunia nzima walikuwa na magonjwa mengine pia. Wenyewe wakijua au hata bila kujua.

Tunajua sehemu ya waliokuwa kwenye agenda ya kuficha taarifa za ugonjwa huu wengine wamo humu JF:


Uzi huo unawahusu sana hao.

View attachment 1890481

Karibu uteme nyongo.
kwaiyo kuniweka wazi unazani ni ujanja??? kama una ushahid si uweke wazi death certificate zao kuwa kwamekufa kwa sabb gani, na sio kuweka vitisho vyakipumbav...madalal ya chanjo kazi munayo...maana matarajio yenu yanakwenda tofaut na mlchotegemea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....MWAKA HUU LAZIMA MCHUCHUMAE, MMEINGIA CHAKIKEEE EWAAAA
 
Back
Top Bottom