Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

kwaiyo kuniweka wazi unazani ni ujanja??? kama una ushahid si uweke wazi death certificate zao kuwa kwamekufa kwa sabb gani, na sio kuweka vitisho vyakipumbav...madalal ya chanjo kazi munayo...maana matarajio yenu yanakwenda tofaut na mlchotegemea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....MWAKA HUU LAZIMA MCHUCHUMAE, MMEINGIA CHAKIKEEE EWAAAA

IMG_20210813_115035_903.jpg
 
kwaiyo kuniweka wazi unazani ni ujanja??? kama una ushahid si uweke wazi death certificate zao kuwa kwamekufa kwa sabb gani, na sio kuweka vitisho vyakipumbav...madalal ya chanjo kazi munayo...maana matarajio yenu yanakwenda tofaut na mlchotegemea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....MWAKA HUU LAZIMA MCHUCHUMAE, MMEINGIA CHAKIKEEE EWAAAA
Huyo jamaa akili zake huwa kama kitunguu.
 
Leo tuko pamoja mtu wangu wa nguvu.

Hapo umemsahau Keenja na mkewe. Hapo Ar Uliwa wa Matchmaker anazikwa saa hii.

Huko dsm vifo havina hesabu.

Haya tuseme hawajachanja au hizo sindano za chanjo hazichemshwi vzr.

Mungu atuokoe tu.
Seriously?

Wapi wanachemsha sindano hizi siku hizi? Nachojua sindano za siku hizi zilivyotengenezwa yaani ikishatumika tu haifai tena inatupwa. Wapi huko wanakochemsha sindano
 
Ndani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:

1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)

Kina yakhe wangapi wameondoka kimya kimya?

Serikali iko kimya kipaumbele chake kusimamisha uchumi.

Mikusanyiko ya watu bila tahadhari iko pale pale.

Angalizo: Chanjo ya Corona si dawa ya kutibu Corona wala nyenzo pekee ya dhahabu itakayotuepusha na gonjwa hili.

IMG-20210813-WA0045.jpg
 
Kuna Clip inatembea kuna Jamaa alikuwa kwenye summit ya covid19 yupo kwenye podium kama akastuck hivi akaanza kama kutaka kudondoka ,ikasikika sauti ya gwajima anasema mkalize chini mkalize chini ,inasemekana jamaa amevuta.
Heh, keshavuta? Ila mbona inaonekana ni sukari?
 
Ndani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:

1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)

Kina yakhe wangapi wameondoka kimya kimya?

Serikali iko kimya kipaumbele chake kusimamisha uchumi.

Mikusanyiko ya watu bila tahadhari iko pale pale.

Angalizo: Chanjo ya Corona si dawa ya kutibu Corona wala nyenzo pekee ya dhahabu itakayotuepusha na gonjwa hili.

tumia takwimu za vifo vya Watanzania nchi nzima

matajiri watano sio Watanzania wote wewe Mr. Potato head
 
tumia takwimu za vifo vya Watanzania nchi nzima

matajiri watano sio Watanzania wote wewe Mr. Potato head

Aliyezuia takwimu alikuwa na nia ovu ya kutengeneza a vicious cycle - kuja kudai zitumike takwimu alizozificha yeye.

Wewe bila shaka ni kidampa wake Mr. Rotten Potato Head kwenye hilo.
 
Acha uongo. Unamsingiziaje mtu?
He is our family. Alikua anaumwa muda mrefu. Its not COVID.

Kwani hujui affinity ya COVID na watu wenye kuumwa muda mrefu?

Kwani mzee baba alikuwa na matatizo ya umeme moyoni kwa muda gani?
 
Mbona serikali inahimiza watu kuvaa barakoa na kwenda kupata chanjo. Acha kuisingizia serikali Mkuu!
Tatizo siyo kuhimiza, kama serikali umeweka strategy ya kusimamia hayo unayohimiza???? Kuhimiza kupo ktk nyumba za ibada. Kama serikali haisimamii maagizo yake ni buree tu
 
Back
Top Bottom