Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Kwi Kwi Kwi , Unaandika huku unalia !....UVCCM tupo na wala hatuumii kwa sababu:
-CCM ni IMANI ya Watanzania Wote
-Hata walio upinzani kwa kukubali ama kukataa....imani hiyo inawafuata kama kivuli.
Fakii Lulandala ni mmoja wa wafuasi wa imani hiyo hata kipindi akiwa CHADEMA.
#Siempre CCM[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nje ya mada , huyu hajagombea ameteuliwa2015 mliishiwa watu hadi Lowassa akagombea urais kupitia chadema.?
Point bado ipo pale pale, mlikosa wa kuwateua mpaka kusubiri atoke ccm.?Nje ya mada , huyu hajagombea ameteuliwa
Kwani Lulandala naye mmekosa wa kuwateua ? halafu kama ni mzee au inakuwaje hapo ?Point bado ipo pale pale, mlikosa wa kuwateua mpaka kusubiri atoke ccm.?
Raia wanakupiga za uso hadi unaamua kujibu maswali kwa kuuliza maswali 😂😂😂 na bado utaelewa tuu hata kwa bakoraKwani Lulandala naye mmekosa wa kuwateua ? halafu kama ni mzee au inakuwaje hapo ?
Wewe ndio mjinga unayeita Matawi ya CCM ni vyama vingi 😂😂🔥🐼
Labda kama wewe ni mgeni JF , yaani mimi ni wa kupigwa za uso humu ? sijawahi kuogopa hoja duniRaia wanakupiga za uso hadi unaamua kujibu maswali kwa kuuliza maswali 😂😂😂 na bado utaelewa tuu hata kwa bakora
Vijana wa Mbowe wako Smart SanaFaki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .
2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)
Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .
Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa
Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....
View attachment 2768625
Nilie kwanini?!!Kwi Kwi Kwi , Unaandika huku unalia !
Usalama kupenya ndani ya Vyama hakuna tatizo kwani ndio Kazi yao kuhakikisha nchi iko salamaTofautisha na mapandikizi yenye vyeo vya uafisa vipenyo ndugu. Hakuna Cha kujisifia hapo zaidi ya kufungua macho zaidi. Tuwe macho na wanaokusahau kipaumbele chetu - katiba mpya.
Chawa chawa hamna kitu hamuaminiki.......Mh JPM aliteua vijana wengi wa Chadema akiwaacha chawa mnapiga makofi tuNilie kwanini?!!
Imani ya CCM ina nguvu zaidi ya moyo wangu....
Kalaghabaho [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2956][emoji2788][emoji2956][emoji2956]2015 mliishiwa watu hadi Lowassa akagombea urais kupitia chadema.?
....baada ya mh.Mbowe kulambishwa kupitia kwa yule mshenga askofu.....AKAMTEUA Laigwanan kugombea urais....Nje ya mada , huyu hajagombea ameteuliwa
[emoji1787][emoji1787]Raia wanakupiga za uso hadi unaamua kujibu maswali kwa kuuliza maswali [emoji23][emoji23][emoji23] na bado utaelewa tuu hata kwa bakora
Argumentum ad hominem...Labda kama wewe ni mgeni JF , yaani mimi ni wa kupigwa za uso humu ? sijawahi kuogopa hoja duni
Tunacho....Chawa chawa hamna kitu hamuaminiki.......Mh JPM aliteua vijana wengi wa Chadema akiwaacha chawa mnapiga makofi tu
unachekesha mno !Tunacho....
Tunaaminika...
Wanaonijua watakuambia ya kwamba mimi mmoja tu ni zaidi ya akina Sosopi 50...
UVCCM ina hazina kubwa..... kalaghabaho [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app