Tunaposema huyu mtu hafai tueleweni jamani

Tunaposema huyu mtu hafai tueleweni jamani

Kama kuna kosa amewahi kufanya Rais Samia na linaweza kuja kumgharimu Big time ni kumuamini huyu nyoka aliyekuwa kiongozi wa kundi la watu fulani waliokuwa wakitumika kwa mlengo wa kikundi fulani( Jina linafahamika)

Mengi yalisemwa kunusu huyu mtu ila kuu ni kuwa huyu mtu ni muumini mtiifu sana wa lile kundi ambalo bado linaamini lenyewe ndo lenye hatma ya Tanzania na linataka kuongoza Tanzania kwa maslahi yako na wala sio maslahi ya Tanzania

Ukiangalia tangu alivyopewa nafasi ya kisiasa chamani anachofanya ni kujibrand mwenyewe na wala sio chama wala kiongozi wa chama kama alivyotegemea

Matangazo mengi anayoyatoa, picha anazopiga kwa mtu mwenye akili unayelielewa lile kundi unagundua kabisa ni za kujijenga yeye kwa maslahi ya lile kundi lake.

Maneno anayotamka ni kama kuwaamsha wafuasi wa lile kundi ambalo kwa kiasi kikubwa walikuwa wanalijenga kundi lao na sio utengamano wa Taifa kwa maslahi ya Taifa.

Wengi tulisema na sasa tunasema tena. Rais wetu Samia, nyoka ni nyoka, kamwe akaribishwi chumbani..

Taasisi nyeti iliikoa nchi yetu kuingia kwenye siasa za Rwanda na Burundi kwa kumuondoa huyu mtu. Sasa umemrudisha. Kama hujashtuka utapata majibu soon!

View attachment 2825643
Mleta mada inaonekana unaugonjwa wa sukari na imeisha kutafuna ubongo ndio maana kila Siku unamtaja Makonda,kama Siasa za kidhalimu za kuteka na kuuwa unazozisema huyo Samia alikuwa makamu wa Rais kipindi hicho,hivyo alikuwa anajua kinachoendelea,hivyo kumtenga Samia na udhalimu wa Makonda ni ujinga mtupu, Maana Samia aliisha wahi sema hawawezi kumtuma asikari kazi ya kudhuru mtu halafu hakosee.
 
Kama kuna kosa amewahi kufanya Rais Samia na linaweza kuja kumgharimu Big time ni kumuamini huyu nyoka aliyekuwa kiongozi wa kundi la watu fulani waliokuwa wakitumika kwa mlengo wa kikundi fulani( Jina linafahamika)

Mengi yalisemwa kunusu huyu mtu ila kuu ni kuwa huyu mtu ni muumini mtiifu sana wa lile kundi ambalo bado linaamini lenyewe ndo lenye hatma ya Tanzania na linataka kuongoza Tanzania kwa maslahi yako na wala sio maslahi ya Tanzania

Ukiangalia tangu alivyopewa nafasi ya kisiasa chamani anachofanya ni kujibrand mwenyewe na wala sio chama wala kiongozi wa chama kama alivyotegemea

Matangazo mengi anayoyatoa, picha anazopiga kwa mtu mwenye akili unayelielewa lile kundi unagundua kabisa ni za kujijenga yeye kwa maslahi ya lile kundi lake.

Maneno anayotamka ni kama kuwaamsha wafuasi wa lile kundi ambalo kwa kiasi kikubwa walikuwa wanalijenga kundi lao na sio utengamano wa Taifa kwa maslahi ya Taifa.

Wengi tulisema na sasa tunasema tena. Rais wetu Samia, nyoka ni nyoka, kamwe akaribishwi chumbani..

Taasisi nyeti iliikoa nchi yetu kuingia kwenye siasa za Rwanda na Burundi kwa kumuondoa huyu mtu. Sasa umemrudisha. Kama hujashtuka utapata majibu soon!

View attachment 2825643
Mwanamke una wivu wewe,loh!
 
Hawaogopi ujana wake bali ujambazi wake. Mwenye akili timamu akishika panga hakuna mwenye mashaka. Lakini inakuwaje ukimwona kichaa kashika panga, na siku za karibuni alikuwa akiua watu?
Jambazi mama yako
 
Kama kuna kosa amewahi kufanya Rais Samia na linaweza kuja kumgharimu Big time ni kumuamini huyu nyoka aliyekuwa kiongozi wa kundi la watu fulani waliokuwa wakitumika kwa mlengo wa kikundi fulani( Jina linafahamika)

Mengi yalisemwa kunusu huyu mtu ila kuu ni kuwa huyu mtu ni muumini mtiifu sana wa lile kundi ambalo bado linaamini lenyewe ndo lenye hatma ya Tanzania na linataka kuongoza Tanzania kwa maslahi yako na wala sio maslahi ya Tanzania

Ukiangalia tangu alivyopewa nafasi ya kisiasa chamani anachofanya ni kujibrand mwenyewe na wala sio chama wala kiongozi wa chama kama alivyotegemea

Matangazo mengi anayoyatoa, picha anazopiga kwa mtu mwenye akili unayelielewa lile kundi unagundua kabisa ni za kujijenga yeye kwa maslahi ya lile kundi lake.

Maneno anayotamka ni kama kuwaamsha wafuasi wa lile kundi ambalo kwa kiasi kikubwa walikuwa wanalijenga kundi lao na sio utengamano wa Taifa kwa maslahi ya Taifa.

Wengi tulisema na sasa tunasema tena. Rais wetu Samia, nyoka ni nyoka, kamwe akaribishwi chumbani..

Taasisi nyeti iliikoa nchi yetu kuingia kwenye siasa za Rwanda na Burundi kwa kumuondoa huyu mtu. Sasa umemrudisha. Kama hujashtuka utapata majibu soon!

View attachment 2825643
Relax mbona umepanick
 
Sasa unapoficha jina lake lakini unabandika picha yake, maana yake nini hasa? Ni uoga au unafiki fulani?

Kwani ungemsema straight kwa jina lake kuwa ni Paul Christian Makonda a.k.a Albert Bashite ungepoteza au kupungukiwa na nini eti?

Kila mtu mfuatiliaji wa siasa za Bongo hii hususani katika kipindi kile cha giza (2015 - 2021) cha Rais hayati John P. Magufuli anajua kuwa Paul Makonda alikuwa ndiye kiongozi wa kikosi cha kuteka, kuumiza kwa mateso na kuua eti ili kulinda au kuuhami utawala wa serikali uliokuwa chini ya CCM na Rais Hayati John P. Magufuli?

Swali kubwa ni Je, aliweza? Obvious jibu ni BIG NO. Alishindwa big time.

Ni ajabu kuwa Rais Samia na CCM yake ya leo nayo imeshindwa kushawishi wananchi waikubali badala yake mme - opt njia na mbinu zile zile za Jiwe ktk kuuhami utawala wao tena kwa kuamua kumtumia mtu yuleyule (Makonda) aliyeleta uharibifu na taswira mbaya ya nchi ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.

Hii maana yake ni kuwa, CCM inatuma ujumbe kwa umma kuwa haina watu wenye akili na maarifa ya kukitetea badala yake Makonda tu ndiye anayefaa miongoni mwa mamia ya wanaCCM..

Poleni sana na tunawaombea kifo cha kisiasa kiwazukie kama mwenye anyakuaye kifaranga!
kama moshi wa karatasi!
 
Until I'm well informed with the right info
Going back to my original statement here:
Kwa maana kwamba yeye ni mmiliki wa kila kitu, hata watu kama (hapana, nimesita kukuhusisha wewe, kwa sababu sikujui unakosimamia bado).
I can now confidently fill in the missing part in that hanging statement. You belong there.
I have my part to play as a responsible citizen which doesn't necessarily have to be attached to a certain group's ideology!
You probably have no clue about a "responsible citizen" citizen" is supposed to be. Being "neutral" is not a part of being a responsible zitizen.
 
Yaani wewe hujielewi bado. Yaani ukiniheshimu wewe naongezekewa nini hadi uifanye heshima kuwa fadhila kwangu? You can go as low s you can aiseee sijawahi ogopa vita,nimelelewa kwenye vita haswa.
Yaani chaos ndio mazoea utulivu unanipa shida naona kuna kitu hakiko sawa. Let the show begin,feel free.

Makonda hana kitu kwako ila ndiye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,suala la thamani,muda utasema.

Samia ndiye Rais, Rais si malaika,atafanya mazuri na makosa pia. Hata Barack alipomaliza muda wake alielezea regrets zake including Libya,ukisoma vitabu vya Mwinyi na Mkapa utajifunza pia walifanya yao. Its life.

Tuendelee na yale nayopenda sasa......eheeeee!
Nilijua tu upo hivi.

Hapo nilikuwa nakuvika kilemba ili ujisikie, kwa kujua bila shaka huna tofauti yoyote na huyo Makonda.

Sasa ni hivi, nipo tayari sana kwa watu wapuuzi kama nyinyi.
 
Back
Top Bottom