Tunaposema huyu mtu hafai tueleweni jamani

Mleta mada inaonekana unaugonjwa wa sukari na imeisha kutafuna ubongo ndio maana kila Siku unamtaja Makonda,kama Siasa za kidhalimu za kuteka na kuuwa unazozisema huyo Samia alikuwa makamu wa Rais kipindi hicho,hivyo alikuwa anajua kinachoendelea,hivyo kumtenga Samia na udhalimu wa Makonda ni ujinga mtupu, Maana Samia aliisha wahi sema hawawezi kumtuma asikari kazi ya kudhuru mtu halafu hakosee.
 
Mwanamke una wivu wewe,loh!
 
Hawaogopi ujana wake bali ujambazi wake. Mwenye akili timamu akishika panga hakuna mwenye mashaka. Lakini inakuwaje ukimwona kichaa kashika panga, na siku za karibuni alikuwa akiua watu?
Jambazi mama yako
 
Relax mbona umepanick
 
kama moshi wa karatasi!
 
Until I'm well informed with the right info
Going back to my original statement here:
Kwa maana kwamba yeye ni mmiliki wa kila kitu, hata watu kama (hapana, nimesita kukuhusisha wewe, kwa sababu sikujui unakosimamia bado).
I can now confidently fill in the missing part in that hanging statement. You belong there.
I have my part to play as a responsible citizen which doesn't necessarily have to be attached to a certain group's ideology!
You probably have no clue about a "responsible citizen" citizen" is supposed to be. Being "neutral" is not a part of being a responsible zitizen.
 
Nilijua tu upo hivi.

Hapo nilikuwa nakuvika kilemba ili ujisikie, kwa kujua bila shaka huna tofauti yoyote na huyo Makonda.

Sasa ni hivi, nipo tayari sana kwa watu wapuuzi kama nyinyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…