Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!

Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule



Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Kwa mara ya kwanza leo nimemuona Mama kakasirika, mpaka kawaita watoto wa mjini-Mijitu! Katukana Stupid yaani pumbavu! JPM alishawahi kutukana kuwa '..mambo ya kipumbavu...'

Mkasema ninyi hamjalelewa kufokafoka bali kalamu itaongea-SI-KWA TANZANIA!Mama kaza wabongo noma
 
Jinga wewe. Alikula wapi? Hujielew. Mchukie uwezavyo ila sisi ndo Rais bora kuwahi kutokea
Hao ndio wakwapuaji wa fedha za watanzania, wapo kumtukana JPM kwa manufaa yao!

Ukiwauliza hiyo T 1.5 aliipeleka wapi JPM hana jibu ingawa JPM hayupo ofisini miaka zaidi ya miwili sasa
 
Tumkumbuke JPM kwa lipi?? Aliiba na kuficha hela uchina, aliruhusu akina Sabaya na Makonda wawapole watu hela kwa jina lake, hakupenda kusikia serikali yake ikisemwa bali alipenda sana kusifiwa kwa data za uongo uongo... alikuwa Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii
 
Enzi za JPM hii report ilikua inafichwa mbali kabisa na CAG akatukanwa matusi ya nguoni na kutimuliwa kazi kwa kosa la kuibua wizi wa serikalini.
 
Mnamkumbuka Kwa kuficha na kupika taarifa za CAG??
Yeye alipika taarifa siyo? Ona sasa manvyopakuliwa. Nyinyi mnasema hivyo kwa chuki tu, labda wewe au ndugu yako alitolewa kazini kwa vyeti feki, au uliiba ukaliwa kichwa, huwezi kumuelewa JPM
 
JPM huyu huyu aliingia mitini na trillion 1.5 alafu akamchukia assad kwa kusema ukweli na akavunja katiba akamuondoa kihuni usifanye watu kama watoto au wajinga kama wewe tunakumbuka vizuri sana

Hawawezi kuona hayo
 
Back
Top Bottom