Anafikiri tumesahau,😐😐😐JPM huyu huyu aliingia mitini na trillion 1.5 alafu akamchukia assad kwa kusema ukweli na akavunja katiba akamuondoa kihuni usifanye watu kama watoto au wajinga kama wewe tunakumbuka vizuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafikiri tumesahau,😐😐😐JPM huyu huyu aliingia mitini na trillion 1.5 alafu akamchukia assad kwa kusema ukweli na akavunja katiba akamuondoa kihuni usifanye watu kama watoto au wajinga kama wewe tunakumbuka vizuri sana
Kwa mara ya kwanza leo nimemuona Mama kakasirika, mpaka kawaita watoto wa mjini-Mijitu! Katukana Stupid yaani pumbavu! JPM alishawahi kutukana kuwa '..mambo ya kipumbavu...'Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!
Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule
Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Na huu ndio ukweli wenyewewalah JPM angekula vichwa vyot
Jinga wewe. Alikula wapi? Hujielew. Mchukie uwezavyo ila sisi ndo Rais bora kuwahi kutokeaJPM alikua mpiga dili zaid ya marais wote kwa mara moja tu aliingia mitini na trillion 1.5
Hao ndio wakwapuaji wa fedha za watanzania, wapo kumtukana JPM kwa manufaa yao!Jinga wewe. Alikula wapi? Hujielew. Mchukie uwezavyo ila sisi ndo Rais bora kuwahi kutokea
Yeye alipika taarifa siyo? Ona sasa manvyopakuliwa. Nyinyi mnasema hivyo kwa chuki tu, labda wewe au ndugu yako alitolewa kazini kwa vyeti feki, au uliiba ukaliwa kichwa, huwezi kumuelewa JPMMnamkumbuka Kwa kuficha na kupika taarifa za CAG??
Hii muulizeni aliyekuwa waziri wa fedha kwani yupo kajaa tele ila kajikausha. Msitake kumtupia marehemu, mana hayupoOooh[emoji116][emoji116][emoji116]
JPM huyu huyu aliingia mitini na trillion 1.5 alafu akamchukia assad kwa kusema ukweli na akavunja katiba akamuondoa kihuni usifanye watu kama watoto au wajinga kama wewe tunakumbuka vizuri sana
Mama leo umetumia asilimia 0.001% ya Magufull.
Tatizo unacheka na walamba asali na wapiga dili wakubwa wa nchi hii.
Inasikitisha sana.
Kwani kuna Version ngap?Hivi jpm mnayemsema huyu huyu tunayemjua wote
Hao wanao hesabu dola unawajua!?!?Jinga wewe. Alikula wapi? Hujielew. Mchukie uwezavyo ila sisi ndo Rais bora kuwahi kutokea
Huyohuyo muanzilishi wa plea bargaining ..Hivi jpm mnayemsema huyu huyu tunayemjua wote
Nyamaza we kahabaJPM alikua mpiga dili zaid ya marais wote kwa mara moja tu aliingia mitini na trillion 1.5
Hizi ni hisia za kishamba hiziEnzi ya JPM usingesikia taarifa za ATCL, TRC au bwawa la Mwalimu Nyerere, Wala Plea Bargaining, angeficha