Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

Magufuli angekuwepo, two things would have happened;
1. Either ripoti isingesomwa au ingeletwa nyingine;
2. Kama ingesomwa kama ilivyosomwa, Bwana Charles Kichere yangemkuta ya Prof Assad

Tofauti ni kwamba ukiwa handle hawa watuhumiwa bila kufuata taratibu, huwezi kuwafunga.

Wote ambao Jiwe aliwaswaga rumande kabala ya "preliminary investigation" waliishia kuishi rumande hadi alipokufa.

Na alipokufa wametoka wako huru.

Ripoti ya CAG siyo kila alichokisema ni UFISADI. Bali zingine zinahitaji majibu toka kwa accounting officers.

Kwa hiyo hiyo ripoti itakapokuwa public, kuna cut off time ya accounting officers kutoa majibu ya hoja zao. Zile ambazo hatakuwa ameridhika nazo ndiyo sasa inabidi zifanyiwe kazi na vyombo husika kama TAKUKURU etc
Unazunguka mbuyu... In short mifumo iliyopo nchini yote imeoza. TAKUKURU na CAG wamethibitisha hivyo!
 
Magufuli angekuwepo, two things would have happened;
1. Either ripoti isingesomwa au ingeletwa nyingine;
2. Kama ingesomwa kama ilivyosomwa, Bwana Charles Kichere yangemkuta ya Prof Assad

Tofauti ni kwamba ukiwa handle hawa watuhumiwa bila kufuata taratibu, huwezi kuwafunga.

Wote ambao Jiwe aliwaswaga rumande kabala ya "preliminary investigation" waliishia kuishi rumande hadi alipokufa.

Na alipokufa wametoka wako huru.

Ripoti ya CAG siyo kila alichokisema ni UFISADI. Bali zingine zinahitaji majibu toka kwa accounting officers.

Kwa hiyo hiyo ripoti itakapokuwa public, kuna cut off time ya accounting officers kutoa majibu ya hoja zao. Zile ambazo hatakuwa ameridhika nazo ndiyo sasa inabidi zifanyiwe kazi na vyombo husika kama TAKUKURU etc
Huna akili kabisa .

Nchi ilifikaje uchumi wa kati?
 
JPM alikua mpiga dili zaid ya marais wote kwa mara moja tu aliingia mitini na trillion 1.5
Sio kweli kazi zke zilionekana sio kama huyu mama anacheka tu

Halafu kuwafukuza faida yake nini wawafanye kama alivyofanywa bwana masamaki

Yule jamaa wa nyumba 75 na fedha alizojaza kwenye madiaba

Kwa oungozi huu cha moto tutakiona watu wanaiba matrioni na mabilioni ya fedha wayu huku mtaani wanalia njaa mungu tusaidie
 
Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!

Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule



Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Si ndio maana kumekucha na Machawa kibao. Na kila kukicha ni Sifa Sifa Sifa. Haya ndio majawabu yake! Mwisho wa siku anaondoka deni la Taifa liko juu mbaya.
Wanaosifia wengi wako ndio walaji wanalia huko huko jioni!

Mama Hali ni mbaya kuliko unavyodhani na kuwabembeleza.
Kula vichwa tu hakuna jinsi.
 
Ukitaka kuishi maisha marefu ktk nchi hii inaitwa Tanzania basi usitake Sana kujua yanayoendelea ndani ya Hiyo nchi.

Wenye mamlaka ya kuchukua hatua na kuwajibisha nao wanalalamika pamoja na wananchi.

CCM Ni mduara wa wizi/ujambazi uliotukuka.

Hao tunaotaka Rais awachukulie hatua Ni wenzake ndani ya chama na serikali. NANI AMFUNGE PAKA KENGELE?

Rais yeye ni msafi? Hapigi madili? Km anapiga si anapiga na Hawa Hawa tunaotaka wachukuliwe hatua?

Rais Ni mwanasiasa, hadharani anaweza kufika ndani wataenda kukaa na kuona namna ya kuzima Moto.

Tatizo la Tanzania au mfumo, Wala siasa zetu, tatizo la Tanzania Ni Watanzania wenyewe.

Ktk watu zaidi ya milioni 60,marehemu Ni karibia milioni 50.Walio hai Ni wachache. Sisi Ni taifa la wafu, watu wasiohoji, watu wasiochukua hatua. Hatujitambui.
Umeonge ukweli hatujitambui watanzania kweli hatujitambui maana haya yote yafanyika sisi tumekaa tu kitako
 
Si ndio maana kumekucha na Machawa kibao. Na kila kukicha ni Sifa Sifa Sifa. Haya ndio majawabu yake! Mwisho wa siku anaondoka deni la Taifa liko juu mbaya.
Wanaosifia wengi wako ndio walaji wanalia huko huko jioni!

Mama Hali ni mbaya kuliko unavyodhani na kuwabembeleza.
Kula vichwa tu hakuna jinsi.
Nakuunga mkono kwa 100% mkuu
 
Taifa linaomboleza kwa wizi wa matrioni ya fedha
Kilo kona kichapo kimetembea!

Bahati mbaya kabisa, aliyetakiwa awe tiba ya haya naye analalamika, sasa dawa itatoka wapi tena?
 
Tena Mchechu aliyepigwa chini na JPM amepelekwa Hazina kabisa halafu tunalalamika eti
 
Si ndio maana kumekucha na Machawa kibao. Na kila kukicha ni Sifa Sifa Sifa. Haya ndio majawabu yake! Mwisho wa siku anaondoka deni la Taifa liko juu mbaya.
Wanaosifia wengi wako ndio walaji wanalia huko huko jioni!

Mama Hali ni mbaya kuliko unavyodhani na kuwabembeleza.
Kula vichwa tu hakuna jinsi.
Si alisema ataendelea kukopa basi akope tu chawa wake waendelee kuchota mpunga

Ndungai alisema gii nchi itauzwa wakamwona mjinga sasa ngoja tuone tunakokwenda

Sasa wazambia wameshauzwa kwanunua mchina kila kona wanahusika wachina njia zote zinazohusu uchumi wa nchi wapo wachina

Hadi idara za usalama wapo wachina idara za misitu wapo wachina maana walishindwa kulipa deni lao walilokuwa wanadaiwa na wachina
 
JPM huyu huyu aliingia mitini na trillion 1.5 alafu akamchukia assad kwa kusema ukweli na akavunja katiba akamuondoa kihuni usifanye watu kama watoto au wajinga kama wewe tunakumbuka vizuri sana

Hata unachoongea hukijui. Kwanza uliwahi kuisoma ile taarifa ya asad, na kuielewa?
 
Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!

Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule



Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Juzi lile ,CAG anaumbua madudu Serikalini unamfukuza shenzi kabisa.
 
Sio kweli kazi zke zilionekana sio kama huyu mama anacheka tu

Halafu kuwafukuza faida yake nini wawafanye kama alivyofanywa bwana masamaki

Yule jamaa wa nyumba 75 na fedha alizojaza kwenye madiaba

Kwa oungozi huu cha moto tutakiona watu wanaiba matrioni na mabilioni ya fedha wayu huku mtaani wanalia njaa mungu tusaidie
Na kwa hili mimi nitaendelea kumsifu JPM daima, ukimkamata mtu amekuibia wala usihangaike na kesi, pukutisha kila kitu rudisha serikalini aanze upya, asipougua kisukari ataenda kujinyonga mwenyewe.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom