Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!

Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule

Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,

JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!

Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?

Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Magufuli was a country bumpkin.
 
Unataka pesa za China ziende wapi tena? Tafuteni zenu wapuuzi nyie

Mnasena China kuna mapesa yamefichwa bila kuyafuata ni kelele kama kelele zingine

Serikali imeamua kuwasitiri tu wajinga nyie mtavuliwa nguo kenge nyinyi
 
Kwani sasa hivi bajeti ya ikulu inakaguliwa? Mbona mnakuwa vichwa maji?
Kwani sheria ya plea bargaining sasa haipo?
Mnaushahidi wa hiyo 1.5 trilion? Mnajua kwamba hiyo ilikuwa audit query? Mnajua kwamba hoja nyingi zilishatolewa maelezo? Na hizi pesa zinazoibiwa sasa mnatuambia kwamba mkuu anahusika?

Ni jibu ziliandaje China pesa then nakurudia
 
Halafu msitubadilishie mada. Tujikite yanayojiri kwenye ripoti hii ya sasa, msianze ooh pesa ziko china, mara ooh 1.5 trillion
Tunataka uwajibikaji walioiba mabilioni pamoja na pesa za ndege ya mizigo.
Mpo na lengo la kutaka kuwasafisha watu.

Mulizeni kipara ngoto kwenye mradi huko wa umeme imekuaje
 
Ni MPUMBAVU tu anayeweza kumdhihaki JPM. Zaidi sana yanayomdhihaki na kumnenea kila neno baya JPM ni yale MAJIZI na MANYONYA DAMU za watu ambayo JPM aliyatupilia mbali na Mama akayasogeza chumbani.

Hahaha poleni mfateni aliko
 
Mbona mnakuwa mbayuwayu? CAG hakuondolewa kwa sababu alileta ripoti inayoonesha pungufu ya 1.5 trilion, no!
Assad alikuwa na mgogoro na mabosi wake ambao ni bunge, baada ya kuwaita wapuuzi wasiojielewa, ndipo akajitengenezea mgogoro kwa kujaribu kuvimba kichwa na kukosa busara. Nvhi yeyote ukifanya hivyo wanakula kichwa

Jibuni hoja hapa
 
Watu wegi mnashindwa kumuelewa Rais Samia Suluhu kitu kimoja yeye hana maneno mengi sana kama JPM wala haendeshi nchi kwa mabavu bali anatumia akili sana kwaiyo hapa wewe unaweza kuhisi hayo yameisha lakini Mama analifanyia kazi na wale wote wanaohusika na ubadhilifu wowote wa serikali lazima wachuliwe hatua

Huu ni utawala wa kutumia akili sana na wala sio nguvu

Na huyu ndo Rais wetu wenu sijui alienda wapi
 
UZUSHI:JPM aligoma kuwalipa kwa kisingizio Cha uhakiki, kwa miaka mitano
 
Mkumbuke siompaka utuambie! Kama alikufanyia mengi mkumbuke ustulazimishe.
Sisi tunawatu tunawaheshimu nao walituheshimu tunawakumbukaga kimya hatukuringishii....
 
Mkumbuke siompaka utuambie! Kama alikufanyia mengi mkumbuke ustulazimishe.
Sisi tunawatu tunawaheshimu nao walituheshimu tunawakumbukaga kimya hatukuringishii....

Hiyo point mzee mbona kama wanatulazimisha ivi
 
Back
Top Bottom