Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

JPM huyu huyu aliingia mitini na trillion 1.5 alafu akamchukia assad kwa kusema ukweli na akavunja katiba akamuondoa kihuni usifanye watu kama watoto au wajinga kama wewe tunakumbuka vizuri sana
Ungekua japo unaelewa a,b,c ya ukaguzi wa mahesabu 'auditing'. Inaonekana unarudiarudia maneno uliyodikia kama kasuku.
 
Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!

Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule

Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,

JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!

Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?

Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!

Haya ndiyo aliyotufanyia Laanatullahi Magufuli Mungu atamlipa huko aliko

 
JPM huyu huyu aliingia mitini na trillion 1.5 alafu akamchukia assad kwa kusema ukweli na akavunja katiba akamuondoa kihuni usifanye watu kama watoto au wajinga kama wewe tunakumbuka vizuri sana
Mwaka uliofata akapiga 800bn bila maelezo yoyote...
Baada ya hapo akaona huyu CAG anamwanika, akamfukuza kinyume cha katiba!
 
Mwaka uliofata akapiga 800bn bila maelezo yoyote...
Baada ya hapo akaona huyu CAG anamwanika, akamfukuza kinyume cha katiba!
Ndo maajabu ya magufuli mtu aliyekua anamsanua kwamba kuna uwizi ndo akatokea kumchukia ile mbaya alafu anaitwa muadilifu
 
Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!

Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule

Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,

JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!

Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?

Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Kabisa ! Umenena kweli tupu !
 
Mwaka uliofata akapiga 800bn bila maelezo yoyote...
Baada ya hapo akaona huyu CAG anamwanika, akamfukuza kinyume cha katiba!
Ziko wapi hizo pesa?? Mbona wengine mali na miradi yao inajulikana ??!! Jamaa alikuwa ana tabia ya kulazimisha pesa ziingie kwenye miradi ambayo yeye aliamini ina manufaa kwa Nchi bila kusubiri idhini kutoka bungeni ! Hilo ndilo lililokuwa kosa lake lakini sio kwamba alikuwa ni mpigaji ! Onyesheni miradi na Mabiashara yake mbona ya wengine yanajulikana ??!
 
We ndo makamba?

Ninachojua, lazima mafisadi mmulalamimikie tu magufuli

Yaani watu kuuliwa kuteswa unaona ni vizuri tu , Sukuma gang wewe. Bora lile liuwaji limetokomea kuzimu

 
JPM alikua mpiga dili zaid ya marais wote kwa mara moja tu aliingia mitini na trillion 1.5
Hizo 1.5 aliwekeza wapi? Mmesema alipeleka china mara aliweka wapi, fedha nyingi kiasi hicho haziwezi kujificha na kwa namna ambavyo mlimchukia sasa kila kitu mngekuwa mmeweka wazi.

Zaidi mmebakia kusema aliiba trilioni 1.5 wakati hizo hela hazijulikani ziko wapi?

Tutaamini aliiba mpaka mtakapo weka wazi ziibwa na kufanyiwa kitu fulani

Bila hivyo nyie na genge lenu ni wezi mnaojificha kwenye mwamvuli wa uwazi na demokrasia

Wezi wakubwa nyie

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Enzi ya JPM usingesikia taarifa za ATCL, TRC au bwawa la Mwalimu Nyerere, Wala Plea Bargaining, angeficha
Mnajifanya vichwa ngumu nyie rudia soma ripoti zote za kipindi cha john hayo unayosema yalikuwepo.

Mnajizima data sasa hivi wizi wa mali na fedha za umma umekuwa mkubwa mno.

Halo CAG amejitahidi kupunguza lkn bado wizi ni mkubwa

Hivi kwa akili za kawaida mkataba umesaini na mmekubaliana vizuri inakuwaje mtu aje akubadilike tena alafu serikali inalipa hela kirahisi tu.

Bwawa la nyerere eti kuchenji hela tu kwenye kulipa imeongezeka bilioni 120 hivi tuko serious na nchi au mnatupoteza na makelele yenu.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mnajifanya vichwa ngumu nyie rudia soma ripoti zote za kipindi cha john hayo unayosema yalikuwepo.

Mnajizima data sasa hivi wizi wa mali na fedha za umma umekuwa mkubwa mno.

Halo CAG amejitahidi kupunguza lkn bado wizi ni mkubwa

Hivi kwa akili za kawaida mkataba umesaini na mmekubaliana vizuri inakuwaje mtu aje akubadilike tena alafu serikali inalipa hela kirahisi tu.

Bwawa la nyerere eti kuchenji hela tu kwenye kulipa imeongezeka bilioni 120 hivi tuko serious na nchi au mnatupoteza na makelele yenu.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mkuu, mafisadi wamekuwa na hasira na JPM tangu yalipo nyang'anywa ulaji
 
Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!

Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule

Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,

JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!

Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?

Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Ni kweli sio kwa upuuzi huu ambao wakati wake uliondolewa
Screenshot_20230403-193134_Instagram.jpg


Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!

Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule

Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,

JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!

Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?

Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Where is 1.5T?
 
Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!

Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule

Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,

JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!

Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?

Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Mbona CAG aliposema 1.5 Trillion imekua understated mkawa wakali Hadi mkasema anatumika na mabeberu!! Mkamtuma Polepole na Ndugai kumtukana Leo hii ndio mnasema JPM alikua anatekeleza mapendekezo ya CAG??

Nitaandaa Uzi kuonyesha how huu ni upotoshaji mkubwa maana ni JPM aliyezuia manunuzi ya ndege kukaguliwa, pia aligoma mfuko wa Rais kukaguliwa, pia alishusha bajeti ya CAG kwa 50% Ili kumdhoofisha
 
Back
Top Bottom