SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Na yeye alikuwa jambaziHahaha! Haya mambo bhana, kwanza hayana ushahidi, lakini pia majambazi pia yanauwezo wa kufanya hivyo mkuu kama ambavyo imefanyika Simiyu juzi juzi, miili kuokotwa kwenye viloba
Magufuli was a country bumpkin.Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!
Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule
Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,
JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!
Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?
Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Unataka pesa za China ziende wapi tena? Tafuteni zenu wapuuzi nyie
Mnasena China kuna mapesa yamefichwa bila kuyafuata ni kelele kama kelele zingine
Kwani sasa hivi bajeti ya ikulu inakaguliwa? Mbona mnakuwa vichwa maji?
Kwani sheria ya plea bargaining sasa haipo?
Mnaushahidi wa hiyo 1.5 trilion? Mnajua kwamba hiyo ilikuwa audit query? Mnajua kwamba hoja nyingi zilishatolewa maelezo? Na hizi pesa zinazoibiwa sasa mnatuambia kwamba mkuu anahusika?
Halafu msitubadilishie mada. Tujikite yanayojiri kwenye ripoti hii ya sasa, msianze ooh pesa ziko china, mara ooh 1.5 trillion
Tunataka uwajibikaji walioiba mabilioni pamoja na pesa za ndege ya mizigo.
Mpo na lengo la kutaka kuwasafisha watu.
Ni MPUMBAVU tu anayeweza kumdhihaki JPM. Zaidi sana yanayomdhihaki na kumnenea kila neno baya JPM ni yale MAJIZI na MANYONYA DAMU za watu ambayo JPM aliyatupilia mbali na Mama akayasogeza chumbani.
Mbona mnakuwa mbayuwayu? CAG hakuondolewa kwa sababu alileta ripoti inayoonesha pungufu ya 1.5 trilion, no!
Assad alikuwa na mgogoro na mabosi wake ambao ni bunge, baada ya kuwaita wapuuzi wasiojielewa, ndipo akajitengenezea mgogoro kwa kujaribu kuvimba kichwa na kukosa busara. Nvhi yeyote ukifanya hivyo wanakula kichwa
Watu wegi mnashindwa kumuelewa Rais Samia Suluhu kitu kimoja yeye hana maneno mengi sana kama JPM wala haendeshi nchi kwa mabavu bali anatumia akili sana kwaiyo hapa wewe unaweza kuhisi hayo yameisha lakini Mama analifanyia kazi na wale wote wanaohusika na ubadhilifu wowote wa serikali lazima wachuliwe hatua
Huu ni utawala wa kutumia akili sana na wala sio nguvu
Huyo wa kwako wa sasa kaleta faida ipi mpaka sasa kama sio hasara zenye kufuru?Angekula kichwa wakat, mabilioni ya plea bargain, ttcl na ndege hasara kasababisha yeye
Wajinga kama nyie ndo mliokuwa mkiimbishwa Nyimbo za rais wa walalahoi na maskini huku mkipiga vigelegele bila kujitambua na huyo tapeliHuna akili kabisa .
Nchi ilifikaje uchumi wa kati?
taja hizo hasara kijanaHuyo wa kwako wa sasa kaleta faida ipi mpaka sasa kama sio hasara zenye kufuru?
Huyo wa kwako wa sasa kaleta faida ipi mpaka sasa kama sio hasara zenye kufuru?
Mkumbuke siompaka utuambie! Kama alikufanyia mengi mkumbuke ustulazimishe.
Sisi tunawatu tunawaheshimu nao walituheshimu tunawakumbukaga kimya hatukuringishii....
Wewe na nani!!??Jinga wewe. Alikula wapi? Hujielew. Mchukie uwezavyo ila sisi ndo Rais bora kuwahi kutokea
Wewe na nani!!??
Sema ndiye rais bora kwako,usiwe msemaji wa mtu mwingine.
Nimekutana naye UDSM - Mlimani juzi kata yupo na IST.Aliongea sana kapelekewa moto eti anaenda kuzuga na ist kukabidhi ofisi.
Mtafute Sasa uone km anatembea na ist