Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

Hayuko ofisini sasa, Hata sasa kuna zuio la kutokukaguliwa manunuzi ya ndege?

Mnakwama wapi mkuu
 
Hakuna Kiongozi alikuwa Mpigaji kama Jiwe
 
Hayuko ofisini sasa, Hata sasa kuna zuio la kutokukaguliwa manunuzi ya ndege?

Mnakwama wapi mkuu
Ndio maana unaona hasara za ATCL zimewekwa wazi maana enzi zile ilikua mwiko kukagua manunuzi ila Kwa Sasa hadi CAG kasema manunuzi yaligubikwa na ufisadi hadi Mama akasema "stupid"...... Kwa JPM haikua hivyo aliminya taarifa zote kufika kwa CAG. So mnapotosha mnaposema eti it was different enzi za JPM!!

Mfano si tuliambiwa NIDA wanafuja pesa na hawafanyi lolote, hivi JPM alifanya Nini mbona mpaka Leo NIDA ni jipu? Tuliambiwa pia trillion 1.5 haikupita mfuko mkuu JPM alichukua hatua gani zaidi ya kumtaka CAG akanushe hakuna ufisadi!
 
Hivi haya malalamiko ya Tr 1.5 tumewahi kujiuliza kwamba zilienda wapi?

Hiyo ni kashifa kubwa sana na sidhani kama inaweza kupita Hivi Hivi kwa jinsi JPM alivyokuwa na maadui wengi hadi chamani, nasema hivi, hiyo ingerudiwa kukaguliwa upya na kuanikwa jinsi ilivyotumika ndugu!

Mimi naamini walishajaribu kufuatilia hawakuona chochote na ndiyo maana mambo yapo kimya tu
 
Hakuna Kiongozi alikuwa Mpigaji kama Jiwe
Alipeleka wapi na unaushahidi upi Mkuu,

Wenzake wakienda US wanaenda kulala kwao maana wamejenga huko"

Niletee utajiri wa JPM hapa ukilinganisha na kile mnasema alipiga pesa nyingi
 
Kipindi Cha Magufuli mambo mengi sana yalikuwa yanapikwa. Media zilitumika vibaya kutangaza mafanikio ya haya mashirika ambayo Leo hii tunaambiwa yamekuwa yakijiendesha kwa hasara. Kuna siku maalumu ilitengwa kuuonyesha umma kuwa yamepiga faida hadi yakaja kutoa gawio serikalini. Yaani sijui tu hii nchi yetu.....katiba ni lazima
 
Hata la Bandari ya Bagamoyo mlisema JPM kama kawaida yake ameamua kukataa tu Bandari isiwepo

Leo hayupo anzeni hiyo bandari
 
Tuko pamoja mkuu,nimependa analysis yako,this is what I stand for.

Jamani ndege wanaofanana ndio wanaoruka pamoja.Sasa Samia unaruka na midege mijizi na unaichekea,sasa tukueleweje?Lazima utakuwa unafanana na hiyo midege.
 
Ukiangali upigaji mkubwa umefanyika before Rais Samia Suluhu kushika kijiti na ndio maana Rais Samia Suluhu ameruhusu shughuri za serikali kufanyika kwa uwazi ili tuendelee kujua Ubadhilifu unaoendelea serikalini na yeye kuchua hatua kwa wale wote watakaogundulika.

Inatakiwa tumshukuru sana Mungu aisee kwa kutupa Rais muwazi kama Rais Samia Suluhu We are so proud of her.
 
Well said aisee JPM alifanya mambo yake kwa siri sana ili watanzani awasigundue upigaji unaoendelea serikalini lakini kipindi cha uongozi wa Rais Samia kila kitu kiko wazi na uzuri wa Mama hana timu kwaiyo wote waliohusika lazima wachukuliwe hatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…