Naomba ile sheria ya kwenda jela miaka 30 pia ifutwe ili mama mtoto akiwa shule, baba mtoto abaki na mtoto
Mama D watu wamekuelewa point yako sema wanajitoa ufahamu tu.!
Kuna mambo ambayo inabidi wakae wayajadili mfano kama binti na kijana wa kiume wote wanafunzi je mtoto wa kiume hatoshitakiwa maana naye inabidi asome.!
Hujaelewa mada. Mtoa mada hajakataa watoto hao kurudi shule ila anachouliza, hao waliozaliwa watalelewa na nani?Acha kuhaha.Watoto wa kike wakipata mimba wana haki ya kurudi shule.
Umetoa majibu mwenyewe. Je huyu binti ana uwezo sawa na huyu aliajiriwa au aliyejiajiri? Kumbuka huyu mtoto alikuwa mwanafunzi, si mwajiriwa wala hajajiajiri!Kwani ambaye kaajiriwa au kajiajiri akishajifungua si anaandaa mazingira ya kumuacha mtoto ili arudi kazini?
Na huyu binti naye ataandaa mazingira ya yeye kurudi shule.
Au ulikuwa unapendekeza serikali ifanyaje? Iwapatie wadada wa kazi mabinti wote kabla ya kurudi shule?
Watu wanajitoa ufahamu sidhani kama Kuna mzazi ataacha mwanae na kuendelea na shule vile vile hata walio kwenye ndoa maisha ni magumu ijekuwa mwanafuni?Mimi namuongelea yule mtoto aliyezaa mtoto wske. Haki ya kile kichanga anapewa na nani?
Na siwaongelei hawa wenye wazazi walio na uwezo wa kuwalea, naongelea wale watoto wasio hata na wakuwalea. Wala sijasema wasirudi shuleni, nimeuliza hivyo vichanga vyao inakuwaje?
Yaani Serikali iandae utaratibu wa malezi kwa kuweka wafanyakazi wa ndani wa hao watoto?Umetoa majibu mwenyewe. Je huyu binti ana uwezo sawa na huyu aliajiriwa au aliyejiajiri? Kumbuka huyu mtoto alikuwa mwanafunzi, si mwajiriwa wala hajajiajiri!
Labda sentensi yako ya mwisho yaweza kuwa sehemu ya suluhu, na si kuwapa mabinti wa kazi tu, bali na kuwalipa pia
Wewe unahisi kichanga hicho unachokitetea kitapatwa na matatizo yapi?Rais wetu SSH amefanya jambo jema wala hakuna lawama kwake.
Ninachouliza vipi kuhusu vile vichanga vunavyobaki mtaani?? Kama huyu wa miaka13, 15 ameweza kuwa kwenye sehemu hatarishi hadi kupata mimba. Vipi kuhusu kile kichanga ambacho tambui kabisa??
Na siongelei hawa waliokua kwenye mazingira bora bali wale wengi walio kwenye mazingira magumu
Hio elimu ipi mnayoipigia chapuo ambayo ina msaada kiasi hicho?kwani wewe ukizaa na unakuwa umeenda kazini asubuhi hadi jioni, nani anakilea kichanga chako? halafu, ukimnyima elimu msichana huoni kama umemnyima pia huyo mtoto maisha yake mazuri ya baadaye kwasababu mamake atashindwa hata kuja kumlea baadaye. wakibaki wote nyumbani iyo cycle ya poverty itaisha? wewe ni mwanamke mwenye uke kabiswa unawaza namna hiyo dhidi ya wanawake wenzio? hayo ilitakiwa tuwaze sisi wanaume lakini sio wewe.
mtoto aliyejifungua akirudi shule wewe unapungukiwa nini? imagine angekuwa mtoto wako, akipata mimba ndio utamkatisha ndoto zake au utamsaidiaje? una watoto lakini?Hio elimu ipi mnayoipigia chapuo ambayo ina msaada kiasi hicho?
Vp kwa wale wanaume wenye umri wa mika 23?Unadhani mwanaume mwenye akili ya kumtia mtoto wa miaka13 mimba ana akili ya kulea kweli!?
Mimi nadhani wengi wao ni matatizo tuu
Nna kidume cha mbegu😅mtoto aliyejifungua akirudi shule wewe unapungukiwa nini? imagine angekuwa mtoto wako, akipata mimba ndio utamkatisha ndoto zake au utamsaidiaje? una watoto lakini?