Tunapouliza Halima Mdee kafanya nini Kawe kwa Miaka yake 10 tujiulize na Sisi kwa 'Kujipendekeza' Kwetu kwa Mamlaka kama 'Wadau' kumetusaidia nini?

Tunapouliza Halima Mdee kafanya nini Kawe kwa Miaka yake 10 tujiulize na Sisi kwa 'Kujipendekeza' Kwetu kwa Mamlaka kama 'Wadau' kumetusaidia nini?

hivi kazi ya mbunge ni ipi jamani!!!

maana tunaombwa kura za urais na watu walioshindwa majukumu ya ubunge.
 
We hujui kuwa kuna pesa nyingi zilitengwa lakini. Halima akawa anashinda mahakani bila kuzifuatilia zisaidie watu wa kawe?

Angezifuatilia Makonda maana ni mkoa wake. Halima alikuwa anashinda mahakamani kwani yeye ni mzee wa mahakama? Jiwe alidhani akiagiza Halima abambikiwe kesi ndio watu wa kawe watashindwa kupambanua hujuma na utendaji? Ama huko Kawe kiongozi ni Halima Mdee tu, hakuna madiwani, mkuu wa wilaya, mkurugenzi nk? Siasa za kizee hazikutoi dogo.
 
Nafikiri hata Esther Bulaya au Mbowe umeshawashuhudia wakikagua miradi inayotekelezwa na Ccm. Alichomaanisha JPM ni kuwa akipata mbunge wa Ccm kuna kuwa na urahisi wa kufanya nae kazi,maana kama ni mzembe inakuwa rahisi kumwajibisha kama mwenyekiti wa chama. Hayo mengine ni utani tu wa JPM.
Chagu, Rais hawezi kuzungumza kwa utani. Kauli ya Rais ni sheria, amri ya Rais inafuatwa na utii. Unapowaambia wananchi shauri yenu na Bwege wenu !! Kweli inaingia akilini. Unawasimanga wananchi na taa za barabarani kisa hawakuichagua Ccm ?! .

Umemsikia mwingine naye anasema askari wao akiharibu risasi 3 bila shabaha awajibishwe sembuse na risasi 16 ?!. Huu ni ulevi wa madaraka.

Chagu, majimbo mangapi yaliopiga hatua kwa sababu tu yapo Ccm ?. Mengi ya hali mbaya sana eg misungwi, solwa, kishapu nk . Wakati mwingine afadhali na yale yanayoongozwa na wapinzani.
 
Chagu, Rais hawezi kuzungumza kwa utani. Kauli ya Rais ni sheria, amri ya Rais inafuatwa na utii. Unapowaambia wananchi shauri yenu na Bwege wenu !! Kweli inaingia akilini. Unawasimanga wananchi na taa za barabarani kisa hawakuichagua Ccm ?! .

Umemsikia mwingine naye anasema askari wao akiharibu risasi 3 bila shabaha awajibishwe sembuse na risasi 16 ?!. Huu ni ulevi wa madaraka.

Chagu, majimbo mangapi yaliopiga hatua kwa sababu tu yapo Ccm ?. Mengi ya hali mbaya sana eg misungwi, solwa, kishapu nk . Wakati mwingine afadhali na yale yanayoongozwa na wapinzani.
Mbona unaenda mbele unarudi? Kwa hiyo unakubali hata mbunge wa upinzani anaweza kuleta maendeleo.
Ndio maana unasema majimbo kama Solwa na kishapu yapo nyuma kimaendeleo. Lakini kuhusu kauli ya maa Samia mnaitafisiri vibaya. Alichomaanisha ni kuwa haiwezekani askari apige risasi 16 alafu mtu awe hai. Hao watakuwa maaskari ambao hawana mafunzo kama wa Tanzania kwa hiyo labda ni wakora tu.
Kwa hiyo Jaduong unataka kuamini rais anaweza akazuia shule au Zahanati isijwngwe kisa tu mbunge ni wa upinzani? Acheni propaganda za kitoto.
 
Huyu anachosema ndicho anamaanisha
Nafikiri hata Esther Bulaya au Mbowe umeshawashuhudia wakikagua miradi inayotekelezwa na Ccm. Alichomaanisha JPM ni kuwa akipata mbunge wa Ccm kuna kuwa na urahisi wa kufanya nae kazi,maana kama ni mzembe inakuwa rahisi kumwajibisha kama mwenyekiti wa chama. Hayo mengine ni utani tu wa JPM.
 
Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole / Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.

Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.

Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi ( 10 ) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 ( 2015 ) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko ( Moja ) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu ( siyo JamiiForums ) na Mitaani pia.

Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
@Paschal mayalla
 
Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole/ Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.

Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.

Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi (10) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 (2015) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko (Moja) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu (siyo JamiiForums) na Mitaani pia.

Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
Duuuh! umemaliza! sijui siku hizi mzee anafikiria kwa kutumia nn? hivi ni kweli Mwaafrika akizeka na uwezo wa kufikiri unapungua!
 
Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole/ Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.

Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.

Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi (10) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 (2015) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko (Moja) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu (siyo JamiiForums) na Mitaani pia.

Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
Alichofanya Halima Mdee hakina tofaiti kimaendeleo ya vitu na alichofanya Mwigulu, Ndugai, Mwakyembe, Makamba, Nape, Majaliwa. Atleast Halima alionesha kwa vitendo kuyataka maendeleo halisi na kupigania haki na utawala bora. Hata hivyo wana kawe wa Mwenge, Masaki, Mikocheni O-bay hawana shida ya barabara maji wala umeme. Shida yao ni haki, uhuru, demokrasia
 
Bila unafiki kama Halima Mdee atafanikiwa kurudi basi this time ashughulikie mambo ya jimboni.

Ntangolea kwa upande ninaoishi. Tegeta Nyuki Stand, Barabara ya Nyuki kwenda Bahari Beach, Mkandarasi yupo site mwaka wa 7 sasa kwa barabara ya km 2.

Kuna migogoro mi 2 mikubwa. Tegeta Magereji na Wazo vs Wakazi wa Cha Simba. Hii migogoro kama imelala hivi na Wananchi wameendelea kujenga na kuzaliana.

Kuhusu Magereji waliambiwa wakae ila mwenye eneo alishinda kesi mahakamani. Kwa sasa mwenye eneo yupo kimya kutokana na uongozi wa Magereji kujipendekeza kwa Mkuu Mkoa Mstaafu hadi kufikia kutengeneza magari ya Jiji bure.

Ukishinda tafadhali njoo ututatulie hizi sintofahamu.

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom