Tetesi: Tunashukuru kwa Serikali kumalizana kabisa na Mkulima wa ndege

Hiyo ndege kwanza bado iko kwenye majaribio na bado haijapangiwa root.

Hata hivyo hiyo ni offer ya Rais kwa wana NEC. Kwa vile Rais ni kiongozi wa serikali kwa hiyo ATCL itazidai hela hizo kutoka serikalini.

Achana kuwa na mawazo ya kupotosha habari na kuwadanganya watanzania.

Mnashangaa serikali inawanyima Information kwa sababu nyie kazi yenu ni kupotosha habari Mnazi pewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuwekeee na clip ya pro. Kabudi ili tuhakikishe kuwa tumelipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama ni kweli tumelipa, Immmma, Tundu Lisu& Co. hawakujui na wala hawatakupa hata shilingi, wenzako hela ya uwakili wameingiziwa kwenye akaunti na Muzungu wewe takataka unabakia kupiga mihayo ya ushabiki hapa JF.

Low IQ individual!
Kama IQ ya Mwigulu au vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpotoshaji namba moja ni weye tena weye ni hatari sana. Unasemaje kuwa nimepotosha habari wakati ni andiko la kweli na ndiyo habari ya mujini kuwa Wale wana nec wote wa Darisalama wamepewa offer na m/kiti wao kuwa wapande bure bureeeee kabisa dege letu jipya kutoka Canada toka Mza hadi JINA bila hata passport. Id pekee ni shati la kijani?? Nasema, We ni mpuuuziii sana. Tena mpotoshaji mkubwa.
Ati iko kwenye majaribio. Unafanyia roho za watu majaribio?? Kwa nini wasipakie Sangara humo kuona ka inauwezo wa kubeba mizigo na sio watu?? Yaani ikianguka na hao wajumbe mtasema ni haki yao??
 
Atakuwa amelipwa, ingelikuwa siyo hivyo, labda mmeshinda kesi, hata hukumu mngelikuwa mmeiweka hapa. Ukimya huu juu ya suala limeishaje ni kuwa mmelipa. Asilipe, ashinde kesi, anavyolipuka anyamaze baridiiiiii kiasi hiki. Amepigwa kichwa kama anavyopigwa nyoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 

We ndo hujui lolote. Nchi Hii watu wamepiga sana hela na inawezekana wewe mmojawapo. Na mbinu zenu ndo Hizo. JPM alishajajua mengi. Kaa ukijua huyu Ni Rais mwenye uchungu wa dhati. Ndo mana hata lugha zake hazina usiasa Siasa wa kutaka kuwaridhisha wajinga kama nyie.
 
Reactions: Oii
Nadhani wewe ni mmoja ya viumbe hai mnaopaswa kuuawa kwa kunyongwa mpaka kufa.
 

Toka nje ya box, kuliwa hela mpaka leo bado zinaliwa, ila sema kwa sasa uhuru wa habari uko kapuni. Rejea ziara za waziri mkuu na rais kila mahali wakisaka kiki upigaji ulivyo mkubwa. Kwa taarifa yako kauli zote za jiwe zimejaa siasa za wazi, labda kama hujui kauli za kisiasa siasa zikoje. Sema yeye hana siasa za mvuto wala hoja bali Maguvu. Mtu kuwa na uchungu wa nchi sio mpaka uambiwe, matendo yake kwa ujumla yanaweza kukueleza. Tofautisha uchungu wa nchi na uchu wa madaraka, mtu muongo huwezi kupima uchungu wake kwenye nchi, zaidi ya kulaghai watu ili aendelee kukaa madarakani.
 
Wewe unajua alikua akilipwaje? Wacha kuwa poyoyo kama Mayalla
 
Ni Vyema kama Sirikali wamemalizana na MKULIMA maana DAWA YA DENI NI KULIPA TU.
 

Umeandika kishabiki mno...You have to be objective angalau kidogo
 
Nyosha Maneno kwamba mnatumia vibaya kodi zetu nikitoka huko mnakuja kawabebesha mama ntilie vitambumbulisho vya 20000 mumelaniwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…