Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu

Demokrasia na Nidhamu ya CCM haiwezi linganishwa na Vyama vya waganga njaa,kumbuka CCM ndio wenye Dola.

Tunasubiria utekelezaji wa ahadi.
 
Demokrasia na Nidhamu ya CCM haiwezi linganishwa na Vyama vya waganga njaa,kumbuka CCM ndio wenye Dola.

Tunasubiria utekelezaji wa ahadi.
Yaani hii ndio nidhamu?
Kwamba wapiga kura sio wanaoamua mshindi bali anayehesabu kura, anaweza kutumia mbinu haramu au nusu halali?

Hii ndio demokrasia na nidhamu mnayofunzwa Lumumba?

Hizo ahadi ndio kama ile aliyosema mama yenu "Hata mkipigia wengine CCM ndio itaunda serikali " sababu anajua vyombo vya ulinzi na usalama na tume iliyojaa maafisa vipenyo wenye kiapo cha utii wataisaidia CCM.


View: https://youtu.be/bsMYAk6cWaE?si=jFdfB7H9zsL6xarv
 
CCM sio sawa na Vyama vya kuokoteza vinavyotegemea mtu,kule hakuna mkubwa kukiko chama ndio maana unaona hawawezi Toka kuja huko kwenu.

Una hoja nyingine?
 
saa 100 kawapa kofi la uso mmekuja kujifariji huku umbwa nyie
 
CCM sio sawa na Vyama vya kuokoteza vinavyotegemea mtu,kule hakuna mkubwa kukiko chama ndio maana unaona hawawezi Toka kuja huko kwenu.

Una hoja nyingine?
CCM haitegemei watu kwa sababu mwenyekiti ndio mwenye chama rejea ile kauli ya "zidumu fikra za mwenyekiti"

Yaani ukiona sehemu wanazuia mawazo kinzani basi hakuna demokrasia hata Samia alivyojipitisha kinyemela kugombea urais sio wote wamefurahia ila hawana jinsi wanaongopa sababu mwenyekiti huyo huyo ndio anamiliki majeshi yote ukimpinga anaweza kuamuru ukapotea ndio maana wamekaa kimya hakukua na uwazi wala ushindani kwenye zoezi la CCM juzi.
 
CCM Ina wanachama zaidi ya 12mln,haya kama hawajaridhika waambiw wahamie kwenye Demokrasia kama watathubu 😂😂

Vyama vya msimu visivyo na future nani aje?
 
CCM Ina wanachama zaidi ya 12mln,haya kama hawajaridhika waambiw wahamie kwenye Demokrasia kama watathubu 😂😂

Vyama vya msimu visivyo na future nani aje?
Wanachama million 12 halafu mtu mmoja anawasomba kwenda Dodoma ili mkamsikilize anavyojipitsha kugombea urais?

Kwani katika milion 12 ni mtu mmoja tu ndio ana haki ya kugombea urais na sio wengine?

Hivyo vyama vya msimu ndio mtu mliyekua mkimpigia upatu ashinde na kuwa mwenyekiti licha ya kupwaya baada ya kukaa muda mrefu kwenye uongozi!

 
Sidhani kama zoezi la kupata katiba mpya kabla ya uchaguzi lina tekelezeka. Ila katika kuhakikisha kwamba CHADEMA wana mchango katika kupata katiba hiyo ni vyema kwa wao kutambua umuhimu wa kuwa na wawakilishi bungeni. Vilevile sifahamu kama kuna utaratibu wa mbunge kuanzisha mada tofauti na yaliyopangwa na spika au kufungua kesi ya kikatiba ili kuchochea mabadiliko ya kipengele chochote cha katiba. Sambamba na kuwa na wawakilishi bungeni, CHADEMA wanatakiwa kuwa na mapendekezo yanayo dhihirisha kwamba katiba ya sasa ina mapungufu
 
munaichukulia poa sana CCM, CCM haiwezi kufanya reform, na CHADEMA ya lissu wakisusa uchaguzi wanakwenda kujimaliza.
Uweunaelewa kiingereza basi! Hawajasema wanasusa bali ni " no election"
Kwa jinsi gani? Hiyo wanajua wao
 

..tukiweka ushabiki na chuki pembeni Watanzania tunahitaji Tume Huru ya uchaguzi, na mabadiliko makubwa ktk uendeshaji wa chaguzi zetu.
 

..kuanzisha Tume Huru na kubadili mifumo ya uchaguzi ni jambo ambalo liko ndani ya uwezo wetu, na muda unatosha kabla ya uchaguzi.
 
Unajua kilichomeondoa El Bashir wa Sudani na kumfanya mpaka leo anaishi gerezani?
Bunge lenye nguvu ni wananchi wenyewe na wakipata mhamasishaji tuu.
Yote yatafanyika na mkilazimisha nguvu ya umma mtasababisha huyo mama yenu aishie kuvalishwa zile sketi za njano bila kilemba bure wakati nyie mnajifunika shaka na wake zenu.
 
Hana ubavu huo, kwenye uchaguzi ndio wanavuna hela
 
Watanzania tuna shida sana. Tunaburuzwa hata na konda wa daladala. Wakikatisha safari katikati tunashuka kiwepesi.

Tumekubali kwenda kwa wajumbe wa nyumba kumi kupata barua za utambulisho. Ni wajumbe wa CCM. Hakuna anayehoji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…