Kelele zimepigwa sana. Kwa hakika zimesikika. Katokea Msigwa eti kutaka utulivu huku tozo zikiendelea.
Kelele za kudai haki nazo zimeendelea kusikika huku zikiangukia kwenye masikio yaliyoziba.
Ni nani aliye mgeni wa vilio hivi? Ni Samia, Majaliwa, Juma au Tulia? Tuende wapi kumbe?
"Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe!" -- Ben Mkapa.
Tukutane Tahrir.
"Aminini nawaambia, yote tuyatakayo yatatimizwa (to a letter) punde tu watakaposikia safari yetu kuelekea Tahrir imewiva!"
Kelele za kudai haki nazo zimeendelea kusikika huku zikiangukia kwenye masikio yaliyoziba.
Ni nani aliye mgeni wa vilio hivi? Ni Samia, Majaliwa, Juma au Tulia? Tuende wapi kumbe?
"Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe!" -- Ben Mkapa.
Tukutane Tahrir.
"Aminini nawaambia, yote tuyatakayo yatatimizwa (to a letter) punde tu watakaposikia safari yetu kuelekea Tahrir imewiva!"