Tunataka ukweli kuhusu ndege yetu Uholanzi

Ivi nyie tu ndio mnapata asala kama ndege no asala presiciory mbona Aachi iyo biashara ,Bali za serikali tu ndizo s zinaasara,HAYA NIMASWALI MENGI AMBAYO WANANCHI TUJIULIZE AU kunawatu wanatujaza ujinga Ili wafanye wao iyo biashara
 
Duh...!.
P
P izokampuni binafsi Tanga zianze Fanya biashara Zina mdagani mbona awaja funga izo biashara kama ndege azina faida, ivi kunamfanya biashara anapenda asala kweli kisingizio anatowa huduma, has acheni mambo yenu kunatatizo au ujuma wengine wafanye iyo biashara
 
Ndege ni za Magufuli, kwakuwa mwenyewe kafa acha ziuzwe tu. Tena ziuzwe kwa bei ya hasara maana zilikuwa zinanunuliwa kwa sifa bila wananchi kuridhia.
Ficha ujinga wako wakati mwingine kwa kukaa kimya
 
Umeongea point
 
Kudadadeeki sukuma gang mnalia na kusaga meno this time.
 
Ndege ni za Magufuli, kwakuwa mwenyewe kafa acha ziuzwe tu. Tena ziuzwe kwa bei ya hasara maana zilikuwa zinanunuliwa kwa sifa bila wananchi kuridhia.
Nakuunga mkono hasa kwa ninavyojisikia raha hawa sukuma gang kusononeka.
 
Nchi hii ina chawa wengi katika Jamii forum, kuweni wazalendo na nchi hii sio Kila kitu kutetea.
 
Ivi nyie tu ndio mnapata asala kama ndege no asala presiciory mbona Aachi iyo biashara ,Bali za serikali tu ndizo s zinaasara,HAYA NIMASWALI MENGI AMBAYO WANANCHI TUJIULIZE AU kunawatu wanatujaza ujinga Ili wafanye wao iyo biashara
Umenielewa?, sikusema zote ziuzwe nimesema hizo kubwa mbili, hizi bombadia zisiuzwe kwani hizi ndizo saizi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…