Tunataka ukweli kuhusu ndege yetu Uholanzi

Tunataka ukweli kuhusu ndege yetu Uholanzi

HIZI NDEGE KWA TAIFA KAMA TANZANIA HAZINA FAIDA YOYOTE, BALI KUIPA TU SEREKALI MZIGO WA UTUNZAJI, ENDAPO KAMA HATA WAKIAMUA KUZIUZA ZOTE HIZO KUBWA HAKUNA UBAYA WOWOTE, TANZANIA ILIHITAJI ZAIDI CARGO PLANE KULIKO HAYO MADUBWASHA YASIYO NA ROUTE NA YENYE GHARAMA KUBWA KIUTUNZAJI.
WAKIWEZA HAYO MAWILI MAKUBWA WAYAUZE YOTE, TUPATE CARGO PLANE MOJA,TUSAFIRISHE MAZAO YETU NJE, SIONI FAIDA YA KUYAHIFADHI MADUDE AMBAYO KUPATA ROUTE NA KUJENGA CONFIDENCE KWA CUSTOMERS NI SHUGHULI AMBAYO HUCHUKUWA MIAKA 30 ALMOST.
Ivi nyie tu ndio mnapata asala kama ndege no asala presiciory mbona Aachi iyo biashara ,Bali za serikali tu ndizo s zinaasara,HAYA NIMASWALI MENGI AMBAYO WANANCHI TUJIULIZE AU kunawatu wanatujaza ujinga Ili wafanye wao iyo biashara
 
Duh...!.
P
P izokampuni binafsi Tanga zianze Fanya biashara Zina mdagani mbona awaja funga izo biashara kama ndege azina faida, ivi kunamfanya biashara anapenda asala kweli kisingizio anatowa huduma, has acheni mambo yenu kunatatizo au ujuma wengine wafanye iyo biashara
 
Ndege ni za Magufuli, kwakuwa mwenyewe kafa acha ziuzwe tu. Tena ziuzwe kwa bei ya hasara maana zilikuwa zinanunuliwa kwa sifa bila wananchi kuridhia.
Ficha ujinga wako wakati mwingine kwa kukaa kimya
 
Acha uongo.
Yoote haya ni matokeo ya ubabe wa Mwendazake kujichukulia sheria mikononi.
Wawekezaji wakija nchini wanajihami kisheria na kujikinga kimikataba dhidi ya mambo kama kunyang'anywa maeneo mliyoingia nayo mikataba inayotambulika kimataifa.

Jiulize suala la ACCACIA liliisha vipi?

Suala la kufukuzwa na Magufuli mkandarasi Federecci aliyejenga barabara ya Bagamoyo/Bunju limeishia wapi?

Suala la kuwafukuza kina Manji Quality Plaza limeishia wapi?

Suala la kukatiza mkataba na deni la kampuni ya Konoike limeishia wapi?

Ubabe mwingi kuliko akili ndiyo yametufikisha hapa tulipo, na pesa inatutokea puani.
Umeongea point
 
CCM ni tatizo!

Kuna tetesi kwamba ile ndege haijazuiwa kama tunavyosikia.Bali ni mpango mahsusi uliopangwa na unaendelea kimkakati kutaka kuiuza.

Na si hiyo tu,bali kuna vigogo wamejipanga kuziuza ndege baadhi ambazo zilinunuliwa na serikali ya awamu ya Tano..kwa kugezo kwamba zinafanya kazi kwa hasara.

Tunasikia na kutonywa kwamba,tayari kuna makampuni makubwa yameanza kufanya mikakati ya kutaka kuinunua ndege ile. Na tayari maombi yametumwa.

Tumeambiwa kwamba yule mzungu wa mashamba ya miwa,ambayo alishindwa kuyaendeleza na hivyo akapokwa kisheria.

Na taratibu zote zilifuatwa,na hatimae ndio akapewa Bakhressa. Hakuwa na nia yoyote ya kesi,bali mkakati huo amepelekewa toka hapahapa.

Tunatonywa kwamba kuna watanzania ambao walikwenda na kunshawishi upya ili afungue kesi ile ili upatikane upenyo wa kuiondoa nchini.

Na hili linapewa nguvu na ukweli kwamba. Hapo awali tuliambiwa ndege ile ilikuwa pale,sababu ya matatizo ya kiufundi,bayo yanazikumba ndege za model ile.

Baadae ndio tunaletewa story za mzungu wa kesi ya mashamba.

Serikali imekaa kimya, kama vile hakuna mali yetu iko nje ya nchi bila uchungu.

Sio msemaji wa serikali, wala waziri wa mawasiliano,au hata Rais na waziri mkuu mwenyewe.

Tokeni watetezi wa mama mtuambie ukweli.

Ile ndege ikiuzwa kimizengwe...ndio itaondoka na utawala wa CCM.

Hatutapoa.

Tukatae wahuni.

Alamsikhi.
10101.
Kudadadeeki sukuma gang mnalia na kusaga meno this time.
 
Ndege ni za Magufuli, kwakuwa mwenyewe kafa acha ziuzwe tu. Tena ziuzwe kwa bei ya hasara maana zilikuwa zinanunuliwa kwa sifa bila wananchi kuridhia.
Nakuunga mkono hasa kwa ninavyojisikia raha hawa sukuma gang kusononeka.
 
Nchi hii ina chawa wengi katika Jamii forum, kuweni wazalendo na nchi hii sio Kila kitu kutetea.
 
Ivi nyie tu ndio mnapata asala kama ndege no asala presiciory mbona Aachi iyo biashara ,Bali za serikali tu ndizo s zinaasara,HAYA NIMASWALI MENGI AMBAYO WANANCHI TUJIULIZE AU kunawatu wanatujaza ujinga Ili wafanye wao iyo biashara
Umenielewa?, sikusema zote ziuzwe nimesema hizo kubwa mbili, hizi bombadia zisiuzwe kwani hizi ndizo saizi yetu.
 
Back
Top Bottom