Tunatoa huduma ya kukata miti na kuchana mbao jijini DAR

Tunatoa huduma ya kukata miti na kuchana mbao jijini DAR

Haina haja ya picha ni logic ya kawaida kabisa nini kinatokea pindi upepo mkali unapotokea.
Katoa mifano vitu kuangukiwa tayari! ukiwekwa picha inakuwa high alert!! Watanzania wanapenda kujuzwa Kwa mifano
 
Unajitahidi kuficha ukweli lakini hujui nini unaongea, tafuta majibu ya haya maswali .je ni kweli serikali hairuhusu hairuhusu matumizi ya chainsaw?, je nini kilitokea baada ya hizo nyumba,umeme na gar kuangukiwa na miti?
Mimi ni mpandaji mkubwa wa miti na laiti ningejua uko wapi ningekuchukua uone jinsi nilivyopanda miti mingi na maua nyumbani pangu wakati wewe haujawahi kupanda hata mti mmoja, ukisema niweke picha naweza kuweka japo inaweza kuwa si ya nyumbani pangu, pia ujue ukiukata mti mmoja eti kwa sababu ya upepo na mvua hautaurejesha kwa zaidi ya miaka minne, pia miti huzuia upepo kuidhuru nyumba yako.

Kwa tamaa yako ya kukata mbao uliamua kununua huo msumeno na nyie ndio mmekata miembe asilia na miarobaini kwa ajili ya mbao za kutengeneza vitanda pia mmewashawishi wasiojua manufaa ya miti wawauzie miti iliyopo kwenye maeneo yao.

PANDA MTI KATA MTI.
 
nimezungumza kuhusu miti iliyokaribu na nyumba na umeme,sijui kwanini unazunguka kukwepa uhalisia, haihitaji shahada ya uhandisi kujua madhara ya mti kuangukia nyumba au umeme, pia nimetoa mfano wa miti ambayo IPO katika hatari zaidi aina ya gravelia, sijasema kuhusu mbao sasa sijui umeyatoa wapi hayo!
 
nimezungumza kuhusu miti iliyokaribu na nyumba na umeme,sijui kwanini unazunguka kukwepa uhalisia, haihitaji shahada ya uhandisi kujua madhara ya mti kuangukia nyumba au umeme.pia nimetoa mfano wa miti ambayo IPO katika hatari zaidi aina ya gravelia,sijasema kuhusu mbao sasa sijui umeyatoa wapi hayo!
Tatizo umelianzisha mwenyewe kwa kujipa sifa ya ujuvi wa kukata miti kawa kutumia chainsaw, mimi ninahasira na wenye chainsaw kwani wamekata miembe asilia na miarobaini iliyokuwa karibu na nyumba kwa kuwadanganya kwa sababu kama zako.
 
Katika hoja yangu ya mwanzo umeona kipengele cha kuchana mbao za miembe au miarobaini? Je kila mwenye chainsaw anaitumia hivyo? Unataka kuendelea kupoteza muda na nguvu nyingi kutumia shoka na mapanga? Huu ni ulimwengu wa sayansi ya teknolojia huwezi kukwepa matumizi ya mashine!!
 
Katika hoja yangu ya mwanzo umeona kipengele cha kuchana mbao za miembe au miarobaini?, Je kila mwenye chainsaw anaitumia hivyo?, unataka kuendelea kupoteza muda na nguvu nyingi kutumia shoka na mapanga?,huu ni ulimwengu wa sayansi ya teknolojia huwezi kukwepa matumizi ya mashine!!
Hauwezi kununua chainsaw kama si mkataji miti kwa wanaochana mbao, hauwezi kunidanganya na hauwezi kununua jeki kama hauna gari au si fundi gereji.
 
Kama una miti mikubwa, mirefu kuliko paa la nyumba yako ni vema ukaiondoa ili kuepuka maafa ya kuangukiwa nayo.

Natoa huduma hiyo kwa kutumia chainsaw Napatikana Dar es Salaam

0758700852
Umepata kibari kutoka kwa halmashauri kukata miti
 
Dunia inahamasisha upandaji miti wewe unahamisisha tuiikate?!

Kwanini hiyo chain-saw yako usiiende nayo kwa wakulima wa miti uwapatie hiyo huduma!.
Kuna miti iliyo sehemu hatarishi kama vile karibu na nyumba na umeme ndo hiyo nashauri kuitoa ili kuepusha maafa ya kuharibu miundombinu hiyo hususani kipindi hiki cha mvua na upepo mkali!! Kwa wakazi wa dar es salaam hususani maeneo ya mbezi ni mashahidi katika hilo.
 
Tunatoa Huduma ya kukata miti hususani iliyo katika mazingira ya hatari na Ku fan ya pruning(kupunguza matawi) kwa kutumia chaisaw.
Tunapatikana Mbezi mwisho.
Kwa mawasiliano: 0758700852/0694340728
 
Tunatoa Huduma ya kukata miti hususani iliyo katika mazingira ya hatari na Ku fan ya pruning(kupunguza matawi) kwa kutumia chaisaw.
Tunapatikana Mbezi mwisho.
Kwa mawasiliano: 0758700852/0694340728
 
Tuko pamoja wenye majumba changamkieni fursa
 
Back
Top Bottom