WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,433
- 1,442
Wakuu nimekuja tu hapa kutia Moyo wapambanaji wote waliokata tamaa.
Leo kwa mara ya kwanza nimeamka kutoka kwenye nyumba niliyojenga mimi.
Ni miaka 10 ya jasho na damu hatimaye jana nimehamia.
Mungu ni mwema, tuendeleze mapambano; kwa wale mliofanikiwa zaidi Mungu azidi kuwapandisha, kwa wale tunaopambania Kombe tusikate tamaa kuna siku yaja.
Kwa sasa naweza sema nami niko na maisha ya kawaida; usafiri, makazi na familia, na zaidi AFYA NJEMA
Nimetoka nyumbani kwa mara ya kwanza nikiwa na 15 yrs, hadi leo nami nimekua na kwangu
Mungu awabariki.
Leo kwa mara ya kwanza nimeamka kutoka kwenye nyumba niliyojenga mimi.
Ni miaka 10 ya jasho na damu hatimaye jana nimehamia.
Mungu ni mwema, tuendeleze mapambano; kwa wale mliofanikiwa zaidi Mungu azidi kuwapandisha, kwa wale tunaopambania Kombe tusikate tamaa kuna siku yaja.
Kwa sasa naweza sema nami niko na maisha ya kawaida; usafiri, makazi na familia, na zaidi AFYA NJEMA
Nimetoka nyumbani kwa mara ya kwanza nikiwa na 15 yrs, hadi leo nami nimekua na kwangu
Mungu awabariki.