Bwii89
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 1,001
- 1,025
Kelia unauza,taa unauza sasa tair ww zann?
Apana asant siuzi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apana asant siuzi mkuu
Utaikuta nagari kabisa
Utajua tu siku moja kwann siuzi tail shule ila zimefungwa huwa Kuna yabu Sana jf
Huku unauza keria kule unauza Taa ,mkuu una duka la used nini?Kelia yakubebea mizigo ktk gari ndogo
Ipo kinondoni nimetowa ktk gari yangu naiuza bei 185,000
Ipo kinondoni
0712690760,,, 0755984282View attachment 1661634View attachment 1661635
Hivyo.vyote nimevitowa
Kelia yakubebea mizigo ktk gari ndogo
Ipo kinondoni nimetowa ktk gari yangu naiuza bei 185,000
Ipo kinondoni
0712690760,,, 0755984282View attachment 1661634View attachment 1661635
Unarisiti ya efd?Taa zipo kinondoni nimezitowa ktk gari yangu bei 185,000
Simu 0712690760/// 0755984282View attachment 1661636View attachment 1661637
Ni desi banks huyo? Kwenye avatar?
Umaskini na roho mbaya ni kitu kibaya sana.Taa zipo kinondoni nimezitowa ktk gari yangu bei 185,000.
Simu 0712690760/ 0755984282.
View attachment 1661637
Ya hayo mataa mabovu unayotaka kuwashikisha wenzakoLisiti ya taa mpyaa au yataa nilizo toa zilizokuja na gari
Sasa ulitaka aliachee????Umaskini na roho mbaya ni kitu kibaya sana.
Umetoa baada ya kuona hazikuridhishi then unataka uuze kwa bei ya dukani.
Namkumbuka mwanasheria mmoja wa Kihaya, tulipanga wote zamani Mwenge. Siku anahama alibeba mpaka carpet lililotoboka.
Sasa carpet limetoboka unalibeba la nini?Sasa ulitaka aliachee????
Nunua ww izo taa ukafunge gheto kwako!
Chengine ndo nini na wewe?Nimetowa sema nimetoa. Kelia sema keria,chengine jaribu kua na roho ya utu..huo uchafu unauza 185k kwel binadamu tuna roho ngumu.
Chengine ni kingine kama sijakoseaChengine ndo nini na wewe?
Dogo jifunze kuheshim mali za watuNimetowa sema nimetoa. Kelia sema keria,chengine jaribu kua na roho ya utu..huo uchafu unauza 185k kwel binadamu tuna roho ngumu.
Huyu dogo anadharau sana mali za watu halafu yeye mwenyewe hamna kitu😂😂😂Dogo jifunze kuheshim mali za watu