Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Taa zipo kinondoni nimezitowa ktk gari yangu bei 185,000.
Simu 0712690760/ 0755984282.


View attachment 1661637
Umaskini na roho mbaya ni kitu kibaya sana.
Umetoa baada ya kuona hazikuridhishi then unataka uuze kwa bei ya dukani.
Namkumbuka mwanasheria mmoja wa Kihaya, tulipanga wote zamani Mwenge. Siku anahama alibeba mpaka carpet lililotoboka.
 
Umaskini na roho mbaya ni kitu kibaya sana.
Umetoa baada ya kuona hazikuridhishi then unataka uuze kwa bei ya dukani.
Namkumbuka mwanasheria mmoja wa Kihaya, tulipanga wote zamani Mwenge. Siku anahama alibeba mpaka carpet lililotoboka.
Sasa ulitaka aliachee????
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja niendelee kusoma comment, mnanifurahisha kweli
 
Jamani tuwe na heshima na wakongwe wa jf.

Mwenye uzi huu (zebanga watelanga) ni ktk wakongwe wa Jf, ID yake ipo hapa toka 2013 (ingawa muandiko wake ni mbovu mno kuliko hata mwanafunzi wa Standard III B🤣🤣🤣). Ila nachompendea hakasirishwi na wanafunzi walio ktk likizo zao za mwisho wa mwaka wanaomkosoakosoa.

Btw: Pamoja na muandiko wake na kiswahili chake kuwa kibovu, ni ktk members ambao wamefanikiwa kuuza bidhaa zao nyingi hapa jf

SmartSelect_20201229-121941_Chrome.jpg
 
Nimetowa sema nimetoa. Kelia sema keria,chengine jaribu kua na roho ya utu..huo uchafu unauza 185k kwel binadamu tuna roho ngumu.
Dogo jifunze kuheshim mali za watu
 
Back
Top Bottom