Chini ya hapo 11 hadi 12Mpaka mkononi kwa hiyo being mkuu UA 12 to 14?
Pale nilimaanisha mtu akija mwaka 2024 akakuta gari lako ni DLA (mfano) kama yuko informed atajua kuwa hili lilinunuliwa 2020 au hakuna njia rasmi ya kufahamu mwaka mpaka uulize. Inakuwaje kuna member alijua registration year ni 2015 wakati kwenye tangazo haikutajwa. Hii skill nikipata itaniongeza ujanja.gar zinanunuliwa sana kwa kas ikiwa namba dl means imeingia kati ya mwaka flan had mwaka flan as magar yanaagizwa meng na namba zinabadilika kila mara gar mpya inainga nchini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Eti sababu ilikua na Mchina,Atakaye nunua hiyo gari atakuwa fala sana. Crown iliyotembea Tz toka 2015 ununue kwa 11ml wakati ukiagiza wapata kwa 12 hadi 14
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale nilimaanisha mtu akija mwaka 2024 akakuta gari lako ni DLA (mfano) kama yuko informed atajua kuwa hili lilinunuliwa 2020 au hakuna njia rasmi ya kufahamu mwaka mpaka uulize. Inakuwaje kuna member alijua registration year ni 2015 wakati kwenye tangazo haikutajwa. Hii skill nikipata itaniongeza ujanja.
Ngosha huyo. Hawajaribiagwi haodogo achana na mipasho ndo jf hii,mteja anayetaka gri taku pm basi hapa utapiga kelele hamn mnunuzi tulia.
ulivyosema chinese owner ndo hapo watu wanaogopa corona andika british owner ongeza bei.
watanunua usiwlaumu hawa ndugu zako manumba
Hata huko Japan wanazishusha km magari kabla hawajazileta africaKingine hakuna Crown iliyotoka Japan na KM chini ya laki.... hawa wanazishusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hekaheka!Nahisi stress anaeuza anataka hela hataki mazungumzo wanunuzi wanataka mazungumzo hawataki kutoa hela tu!Hadi hapo uzi umeshaharibika tayari, wanunuzi wakali muuzaji mkali
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umekosea uliposema 'chinese' owner What are trying to imply?! Kwamba gari itakuwa bora zaidi kwasababu owner ni mchina au mbovu zaidi?
Kwa waliofanya issue na wachina wanawaelewa vizuri ni bora usingetutajia asili ya muuzaji,mambo ya zamani hayo
Duuu!Biashara ishaharibika walahi!Sijui kwanini watu mnapaniki sana mtu akitaja yeye ni nani!?
Ni kweli ni chinese,na wewe una race yako yanini upaniki?
Unamuonea wivu kutaja anatoka wapi?
Punguzeni unaa wa kiduwanzi namna hii....
Yeye ni Chinese na mimi ni Tanzanian,yanini nimzuie yeye kutaja utaifa wake?
Yeye hajabagua mtu,wewe ndio umejaa machuki rohoni mwako umeona ngoja uanze kumkoromea
Fvck outta here!
Jikite kwenye biashara acha self hatred zako na inferiority complexes zilizokujaa
Huyo mjomba kawaida yake hua hapendi kua challenged kwny udalali wake.
dodge
World wide. Gas guzzlers resale value iko chini
Oh ngoja nipite mbali
Chinese owner au Chinese owned? Napenda kujifunza tu kipi ni sahihiHilo neno "Chinese Owner" linakusumbua nini ndugu yangu? Mbona unaniharibia thread mkuu. Kwakuwa kama gari hujaipenda si hujaipenda tu?
.
Basi nisaidie kuwaambia Moderators warekebishe heading ili nafsi yako iridhike.
.
Nashukuru kwa kunielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dalali mwenzangu antipas mbona tuliwasiliana whatsApp tukamalizana? Acha kuharibu thread basi.imeshuka bei
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji28][emoji23][emoji1787]Dalali mwenzangu antipas mbona tuliwasiliana whatsApp tukamalizana? Acha kuharibu thread basi.
Sent using Jamii Forums mobile app