jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
Hapa sjaelewa mwenye kutakiwa kuwa na akili wewe au mleta post, unajua thamani ya runex au allex? Hasa no ds ambayo haijasajiliwa chini ya miezi 6?msipende kukurupukagaKuwa na akili wewe..hiyo haizidi mil 7
Mkuuu hajakurupuka, kibongobongo huwezi kuuza Runx au Alex zaid ya M10, ikizidi hapo lazima mnunuzi atafute Harrier Old Model, tatizo wewe na Madalali wenzako mnapandisha sana bei za Magari na kuwajaza upepo watu kwamba gari ni bei juuu kumbe tamaa zenu za Kijinga. Usituchose zaidi zaidi endeleeeni kuwashika hao hao kutoka huko Shinyanga, Tunduru na Kibondo lkn siyo Vijana wa DaaaslamHapa sjaelewa mwenye kutakiwa kuwa na akili wewe au mleta post, unajua thamani ya runex au allex? Hasa no ds ambayo haijasajiliwa chini ya miezi 6?msipende kukurupukaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Tia na comment za watu uone kwann haiuziki.
We mjinga umeshindwa kufanya Kazi za maana..unadalalia vya wengine..hopelessHapa sjaelewa mwenye kutakiwa kuwa na akili wewe au mleta post, unajua thamani ya runex au allex? Hasa no ds ambayo haijasajiliwa chini ya miezi 6?msipende kukurupukaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku Shinyanga magari used ni bei nafuu kuliko huko Dar es SalaamM
Mkuuu hajakurupuka, kibongobongo huwezi kuuza Runx au Alex zaid ya M10, ikizidi hapo lazima mnunuzi atafute Harrier Old Model, tatizo wewe na Madalali wenzako mnapandisha sana bei za Magari na kuwajaza upepo watu kwamba gari ni bei juuu kumbe tamaa zenu za Kijinga. Usituchose zaidi zaidi endeleeeni kuwashika hao hao kutoka huko Shinyanga, Tunduru na Kibondo lkn siyo Vijana wa Daaaslam
Una'reply na a/c nyingine.Gari inaonekana ni nzuri sana na bei sio mbaya....kazi kwenu wenye wazifa...
Sent using Jamii Forums mobile app