Tunauza mashamba viwanja Arusha, Boma, Kiteto

Tunauza mashamba viwanja Arusha, Boma, Kiteto

Shamba la ekari moja lililopo ndani ya mkoa wa Arusha, mnauza bei gani?
Inategemea na mahali mf. Kule kwetu moshono nusu heka inaanza ml 47 nakuendelea heka sasa ni 75 hadi 100ml tz sh. Ila kuanzia kia mpaka , usa, mpaka mrefu unaweza pata kwà bei nzuri , ila haitokuwa karibu na main road unaweza pata 18 mpaka 25ml na ni kuanzia 1km mpaka 3km ndio ufike kwenye eneo ila ni pazuri unaweza fanya mambo yako.
 
Tell me more about kiteto maana napasikiaga tu
Kiteto District is one of the six districts of the Manyara Region of Tanzania. It is bordered to the north by the Simanjiro District, to the east by the Tanga Region and to the south and west by the Dodoma Region. The district headquarters are located in Kibaya and most of the people who are in kiteto are Masai people . It's a good district for cultivation.
 

Attachments

  • IMG-20231010-WA0000.jpg
    IMG-20231010-WA0000.jpg
    72.4 KB · Views: 3
  • IMG-20231010-WA0010.jpg
    IMG-20231010-WA0010.jpg
    63.2 KB · Views: 3
  • IMG-20231010-WA0006.jpg
    IMG-20231010-WA0006.jpg
    144.6 KB · Views: 3
Inategemea na mahali mf. Kule kwetu moshono nusu heka inaanza ml 47 nakuendelea heka sasa ni 75 hadi 100ml tz sh. Ila kuanzia kia mpaka , usa, mpaka mrefu unaweza pata kwà bei nzuri , ila haitokuwa karibu na main road unaweza pata 18 mpaka 25ml na ni kuanzia 1km mpaka 3km ndio ufike kwenye eneo ila ni pazuri unaweza fanya mambo yako.
Moshono sehemu gani?
 
Equation x kuna namba hapo njoo whtsupp unipe budghet yako nikupatie heka safi nzuri utaifurahia . Sehemu ambaye sio tindiga , nanipatulivu unaona mt kilimanjaro uje na mteja pia upate commission
Bei ziko juu sana, nataka la ndani ndani kabisa kwa ajili ya ufugaji na bei iwe rafiki kidogo
 
Mtu atoke Mbeya mpaka boma ndio apate majibu? Mna matatizo gani nyie madalli wa humu? Kwa nini msiweke taarifa zote hadharani

USIKUBALI KUKOSA VIWANJA VYA MKOPO NDANI YA MIEZI SITA BILA RIBA . VIWANJA VIPO ARUSHA NA KILIMANJARO;
ARUSHA
MAJI YA CHAI 20*20 MILL 6
KIKATITI 15*20 MILL 3
NJIANG'OMBE 20*15 MILL 6
EAST AFRICA 20*15 MILL 3
KISERIAN 20*20 MILL 6.5
MOSHONO LAIZER 20*15 MILL 6.5
NJIRO ROUND ABOUT 15*20 MILL 8
*MOMELA 20*20 MILL 8
KILIMANJARO
BOMANG'OMBE 20*15 MILL 3
UZUNGUNI (BOMANG'OMBE) 15*20 MILL 4

5. HEKA KITETO KARIBU NA MJI NI LAKI 7 MJINI KABISA ML 1 NA LAKI MBILI KIJIJINI LAKI 4

KARIBUNI WOTE
 

Attachments

  • IMG-20231010-WA0010.jpg
    IMG-20231010-WA0010.jpg
    63.2 KB · Views: 3
  • IMG-20231010-WA0009.jpg
    IMG-20231010-WA0009.jpg
    85.5 KB · Views: 3
  • IMG-20231010-WA0005.jpg
    IMG-20231010-WA0005.jpg
    149 KB · Views: 3
Sisi ni group la madalali waliojikusanya kupigania haki ya mwananchi upate kiwanja /heka yako kihalali unalipia kwa awamu.

Kwa njia hii moja ukipenda kiwanja mahali iwe usa , boma au popote pale arusha , tunaenda kwa mwenye kitu unaandikishwa fomu halafu na barua inayoonyesha mmekubaliana unaanza kulipa nusu na ingine unamalizia kwa miezi au miaka mingapi unaenda kulipa hiyo nusu unaleta kopi kwa mwenye kiti na wewe umebaki na vielelezo vitatu barua kwa mwenye kiti ambayo inasign ya kila mtu , including you mashahidi, na muuzaji , . Hati inabaki kwa mwenye kiti na anaonyesha kila mtu kuwa yeye anayo ukimalizia basi unapewa kihalali na wale waliokuwepo mwanzo wanakuwepo mwishoni karibu uje uone
Burka mna viwanja?if yes ukubwa na bei ?
 
USIKUBALI KUKOSA VIWANJA VYA MKOPO NDANI YA MIEZI SITA BILA RIBA . VIWANJA VIPO ARUSHA NA KILIMANJARO;
ARUSHA
MAJI YA CHAI 20*20 MILL 6
KIKATITI 15*20 MILL 3
NJIANG'OMBE 20*15 MILL 6
EAST AFRICA 20*15 MILL 3
KISERIAN 20*20 MILL 6.5
MOSHONO LAIZER 20*15 MILL 6.5
NJIRO ROUND ABOUT 15*20 MILL 8
*MOMELA 20*20 MILL 8
KILIMANJARO
BOMANG'OMBE 20*15 MILL 3
UZUNGUNI (BOMANG'OMBE) 15*20 MILL 4

5. HEKA KITETO KARIBU NA MJI NI LAKI 7 MJINI KABISA ML 1 NA LAKI MBILI KIJIJINI LAKI 4

KARIBUNI WOTE
Laizer kwa wapi?
 
Tell me more about kiteto maana napasikiaga tu
Ni wilaya iliyopo ndani ya mkoa wa Manyara imepakana na sehemu za mkoa wa dodoma wilaya ya kondoa, mkoa wa Tanga imepakana na kilindi

Fursa zilizopo kubwa ni kilimo na ufugaji, ardhi ya kule bado bikra sana haijaumizwa na kemikali zinazotumika ktk kilimo, mazao yanayostawi sana ni mahindi, mbaazi, alizeti, maharage, ufuta na mengine Kwa kiasi kidogo

Miundombinu ya usafiri ni mazuri maeneo mengi yanafikika lkn msimu wa masika usafiri siyo rafiki kwa baadhi ya maeneo

Masoko ya mazao kwa sehemu kubwa ni dodoma hasa soko la kibaigwa

Fursa za kibiashara; pembejeo za kilimo Kwa maana ya mbegu, mbolea, dawa za kutibu mifugo(unaweza fungua office au kuzunguka minadani)


Kama Kuna sehemu inakuchanganya ndani ya Kanda ya kaskazini niulize 😁😁nipo hapa shekilango nawasubir
 
Nina eneo USA RIver sehemu onaitwa laki tatu naliuza 80m ukubwa wake ni 70m x63m. Kama mnahela niwaachie mkate viwanja njoo inbox
 
Back
Top Bottom