Car4Sale Tunauza na kukopesha magari

Wewe si ndio yule tapeli kila mtu anakuulizia hapa JF?

Acha kuibia watu we fala...
 
Mwizi wewe unaibia washamba. Hivi sasa tumesimama kuwastua wasiojua

Hilo likimeo lako ni heri mtu anunue Vitz

Laanakum mwizi wahed
 
Mwizi wewe unaibia washamba. Hivi sasa tumesimama kuwastua wasiojua

Hilo likimeo lako ni heri mtu anunue Vitz

Laanakum mwizi wahed
Gari pekee unaloweza litolea mfano ni Vitz maana ndio level zako
 
1. Pata gari yako kwa kulipia 50% tu ya garama nzima na upate faida ya mkopo wa 50% marejesho ndani ya miezi 12 hadi 24

2. Ukilipia 50% na Taratibu za mkopo zikikamilika utapata gari yako ndani ya masaa 48.

3. Kama huitaji mkopo utapata fursa ya kuihifadhi gari kwetu kwa miezi mitatu bila garama ya ziada ukijipanga kutafuta garama za kodi.

4. Kama ukinunua gari kwetu na ukawa unauhitaji wa kubadirisha basi unauwezo wa KUVUNJA nasisi na ukapata gari mpya.

Tupigie sasa
0769177042



 
Vigezo vya kupata uo mkopo uko vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…