Car4Sale Tunauza na kukopesha magari

Car4Sale Tunauza na kukopesha magari

Vigezo vya kupata uo mkopo uko vipi
MWAJIRIWA
Picha 3
Kitambulisho cha uraia
Kitambulisho cha mtu wa karib
Salary slip za miez 3
Kopi ya mkataba wa ajira
Bank statement ya miez 6
Barua ya serikal ya mitaa

KUJIAJIRI
Picha 3
Kitambulsho cha uraia
Bank statement miez 6
Tin number
Lesen ya biashara
 
Fuso milioni 80 dah ?
Wewe umeona 80 milioni? Mimi nimeona 86,930,010 Million ambayo kwa tarakimu itaandikwa 86,930,010,000,000. Sawa na trillion themanini na sita bilioni mia tisa thelathini na milioni kumi. Bajeti ya nchi ya miaka mitatu kwa fuso moja.
 
Kwa io unategemea unaweza pata fuso ya 50,000km[emoji23][emoji23][emoji23] c ndio?? ushawai kuagza gari kubwa lakin nisijekuwa nabishana na mtu amby aelewi chochote
Kwamba fuso zenyewe zinazaana kisha kunyonyeshana na baada ya kukua ndio zinauzwa ama. Fuso ni mifugo? Kiwandani zinaanzia kutengenezwa kwa km ngapi?
 
Acha uhaya wa kishamba we sister duu,bichwa kubwa akili kisoda

usichoelewa hapo ni kipi gari used JAPAN bongo ni mang'anyuu yani jipya?

Unajitia kukaza fuvu tu,ungekua around watu ka nyie mafuvu yenu tunachemshiaga supu

halafu tunamwaga chooni maana hata mmea haufai kupata mbolea ya fuvu lako,mnyama yeyote hafai nyweshwa supu itokanayo na mwili wako anaeza Paralyze.

Acha kuleta Uhaya wako wa kishamba,unajua agiza gari kwanini usilifate JAPAN ukaja nalo?...

Mwenye mbwembwe ni wewe mshamba mmoja hivi,Bchwa kontena akili kret...
Umeacha ushoga?
 
Mtu anatoa macho kwa 200,000KM kwa gari kubwa?! kweli watu wakizoea tumia gari ndogo ni shida.

inajulikana wazi na haina ubishi Bongo gari toka JAPAN tunaita JIPYAAA sasa mnamshambulia muuzaji kisa kasema gari jipya ni akili au usongo wa mawazo?

Hiyo gari ndio namsaidia kusema ni JIPYA, ana haki kabisa wala hajakosea aliposema hilo gari ni JIPYA ndio ni jipya,nani mbishi?

Fanya biashara yako Boss,hizi watu za JF zinazojifanya magari mapya kwao ni 0KM achana nazo,utapasuka kichwa ukijibizana nao, soma tu comment zao kisha pita na 50 zako.
Kimsingi ni mpya sababu zinakuwa reconditioned
 
Mitsubish Canter
Year 1997
Engne 4d35
Km 25,000
6Mt

⚡️Gharama ya kuagiza gari hili mpaka kukabidhiwa ni 66,882,000Million pekee bei hii ni pamoja na usajir wa gari

⚡️ Mkopo pia unapatkana kwa gari hili lipa 36,735,000 Million inayobaki lipa kidogo kidogo kwa kipind cha miez 12 hadi 24

Whatsap
0769177042

A212A6E7-BBB4-417A-9849-5811508939BD.jpeg


B8D7E3BD-3D97-4814-9302-F98D89660764.jpeg


EBF0A735-9EA4-4741-9EB7-393599EF0A27.jpeg


CBD7A595-D6FC-4E8E-A068-A1D748CB6101.jpeg


4F77E96C-02EE-4BBE-8C4A-7A3E0089715D.jpeg


19A9662F-5197-444C-8109-4BE09205AF9C.jpeg


3727ABA5-F8C3-415C-968B-E11E71117888.jpeg


BBDCA079-424F-4D6A-963E-2FE9AB4DB155.jpeg


1C0F5CD0-88CC-4DAC-9AE3-9453DFB04E19.jpeg


313A3703-C103-4925-AE45-9F9D5E98B682.jpeg
 
1. Pata gari yako kwa kulipia 50% tu ya garama nzima na upate faida ya mkopo wa 50% marejesho ndani ya miezi 12.

2. Ukilipia 50% na Taratibu za mkopo zikikamilika utapata gari yako ndani ya masaa 48.

3. Kama huitaji mkopo utapata fursa ya kuihifadhi gari kwetu kwa miezi mitatu bila garama ya ziada ukijipanga kutafuta garama za kodi.

4. Kama ukinunua gari kwetu na ukawa unauhitaji wa kubadirisha basi unauwezo wa KUVUNJA nasisi na ukapata gari mpya.

Tupigie sasa

0769177042

F968E657-C082-45B2-A933-903F9BCD8B19.jpeg

65FF1C92-6F16-4469-A464-C3C1BA60DB95.jpeg

450B5593-57FA-4076-8F5C-AC444308AE75.jpeg

ADD2EBCC-D107-4678-A7DA-E0FC93C4015D.jpeg

9BD3588E-5820-437A-8555-3E353144261C.jpeg

30839144-557D-4B25-885A-BCBA202E66D5.jpeg

B62282BE-74E1-4ACD-9A89-B8708D6FF2E3.jpeg

DBD97C46-6763-4E91-97CE-197525B4CFB1.jpeg
 
Back
Top Bottom