Bsyotyo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2022
- 617
- 996
Naomba Nitumie Basi PDF ya Vigezo na Masharti kwenye PM nduguNi kwa ajili ya usajir wa gari kufatilia na kufungia gari gps mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba Nitumie Basi PDF ya Vigezo na Masharti kwenye PM nduguNi kwa ajili ya usajir wa gari kufatilia na kufungia gari gps mkuu
MWAJIRIWAVigezo vya kupata uo mkopo uko vipi
Karibu
Jambazi wewe. WameshakustukiaGari pekee unaloweza litolea mfano ni Vitz maana ndio level zako
JiziYES mimi ndie TAPELI farasi wa miguu 9 wewe
Wewe umeona 80 milioni? Mimi nimeona 86,930,010 Million ambayo kwa tarakimu itaandikwa 86,930,010,000,000. Sawa na trillion themanini na sita bilioni mia tisa thelathini na milioni kumi. Bajeti ya nchi ya miaka mitatu kwa fuso moja.Fuso milioni 80 dah ?
Kwamba fuso zenyewe zinazaana kisha kunyonyeshana na baada ya kukua ndio zinauzwa ama. Fuso ni mifugo? Kiwandani zinaanzia kutengenezwa kwa km ngapi?Kwa io unategemea unaweza pata fuso ya 50,000km[emoji23][emoji23][emoji23] c ndio?? ushawai kuagza gari kubwa lakin nisijekuwa nabishana na mtu amby aelewi chochote
Kama sio used hizo km 206,000/ zimefikaje?Io gari nani aliokwambia used?? or ujasoma vzr maelezo
Umeacha ushoga?Acha uhaya wa kishamba we sister duu,bichwa kubwa akili kisoda
usichoelewa hapo ni kipi gari used JAPAN bongo ni mang'anyuu yani jipya?
Unajitia kukaza fuvu tu,ungekua around watu ka nyie mafuvu yenu tunachemshiaga supu
halafu tunamwaga chooni maana hata mmea haufai kupata mbolea ya fuvu lako,mnyama yeyote hafai nyweshwa supu itokanayo na mwili wako anaeza Paralyze.
Acha kuleta Uhaya wako wa kishamba,unajua agiza gari kwanini usilifate JAPAN ukaja nalo?...
Mwenye mbwembwe ni wewe mshamba mmoja hivi,Bchwa kontena akili kret...
Huyo sio ana stress, huyo ana mimba changa na katelekezwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lbd ana stress mwenzetu tusimlaumu sana ila mwenye akili anaelewa nn tunazungumza
Ww una kamimba kachanga, kanakusumbua sanaUmeacha ushoga?
Umeacha ushoga?Ww una kamimba kachanga, kanakusumbua sana
Kimsingi ni mpya sababu zinakuwa reconditionedMtu anatoa macho kwa 200,000KM kwa gari kubwa?! kweli watu wakizoea tumia gari ndogo ni shida.
inajulikana wazi na haina ubishi Bongo gari toka JAPAN tunaita JIPYAAA sasa mnamshambulia muuzaji kisa kasema gari jipya ni akili au usongo wa mawazo?
Hiyo gari ndio namsaidia kusema ni JIPYA, ana haki kabisa wala hajakosea aliposema hilo gari ni JIPYA ndio ni jipya,nani mbishi?
Fanya biashara yako Boss,hizi watu za JF zinazojifanya magari mapya kwao ni 0KM achana nazo,utapasuka kichwa ukijibizana nao, soma tu comment zao kisha pita na 50 zako.
Ndio boss karibuGari aina yoyote?