Sipatii picha ndio umenunua kreti za bia, unataka uzipandishe🤣Wanataka wapangaji watoke vigimbi.
Hizo ngazi ukishuka hadi chini chupi inakuwa tayari imelowa jasho.!
Mleta mada wekani Kodi hata iwe laki moja,maana Ni adhabu kupanda ngazi hadi 5th floor.!
Sijui mtu akihamia huwa vitu vinapandishwaje huko juu mafriji masofa nkSipatii picha ndio umenunua kreti za bia, unataka uzipandishe🤣
Gorofa tano bila lift ni habar nyingine hiyo.chumba iwe elf50Sijui mtu akihamia huwa vitu vinapandishwaje huko juu mafriji masofa nk
Wanataka wapangaji watoke vigimbi.
Hizo ngazi ukishuka hadi chini chupi inakuwa tayari imelowa jasho.!
Mleta mada wekani Kodi hata iwe laki moja,maana Ni adhabu kupanda ngazi hadi 5th floor.!
Chupi inalowa jasho mbele au Nyuma ?Wanataka wapangaji watoke vigimbi.
Hizo ngazi ukishuka hadi chini chupi inakuwa tayari imelowa jasho.!
Mleta mada wekani Kodi hata iwe laki moja,maana Ni adhabu kupanda ngazi hadi 5th floor.!
Kotekote
Pole sana mkuuKotekote