mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kuna watu Wana hela lakini wapo ICU.
alaf utamsikia mbuzi mmoja akinena 'pesa haileti furaha'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alaf utamsikia mbuzi mmoja akinena 'pesa haileti furaha'
maneno ya kujifariji hayaKuna watu Wana hela lakini wapo ICU.
Tena usisubutu kabisa watakuloga hawa walivhokuwa wanahaha kupata waoaji 🤣🤣🤣🤣 atakutegeshea apate mimbaHumo ukiingiza pisi lazima akatae kutoka.
ah thubutu, mwendo wa kumwage nje tuatakutegeshea apate mimba
Ah wee anahakikisha yupo ontop ili usifurukute🤣🤣🤣🤣🤣ah thubutu, mwendo wa kumwage nje tu
akifanya ivyo, atameza P2 tenga zima kwa lazimaAh wee anahakikisha yupo ontop ili usifurukute🤣🤣🤣🤣🤣
akifanya ivyo, atameza P2 tenga zima kwa lazima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkiambiwa tafuten pesa, muwe mnaelewa, na hizo ndizo nyumba anazotakiwa kuishi mtu na mwanaume[emoji23][emoji23][emoji23].
Just imagine umelala kwa bed kama lile na mdirisha ukikutizama uku hewa nzur na safi ikiwa imetanda room[emoji12].
Hizo stress unapataje sas?.
Tutafuten pesa jaman , kuishi dunian kama paradiso inawezekana kabisa
Nilitaka nikutag, nilivoona hayo madirisha lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio nyumba za kuhonga hizii.. sio unahonga ndani ndani huko unakuja kutuvimbia hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena usisubutu kabisa watakuloga hawa walivhokuwa wanahaha kupata waoaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] atakutegeshea apate mimba
Kweli kabisa. Nyie nikuoelekwa kwenye chumba self na sebule kule chanika. Kuna mtu anauza kiwanja million moja wacha nikachukie hicho. Ndio litakuwa chimbo langu. Hivi uber zinafika huko?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wee unadhan nan mjinga apelekwe ktk huo mjengo unaouzwa afu akae kizembe? Unapigisha limbwata tangu mwanaume had babu na bibi zake tena wa pande zote. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisa. Nyie nikuoelekwa kwenye chumba self na sebule kule chanika. Kuna mtu anauza kiwanja million moja wacha nikachukie hicho. Ndio litakuwa chimbo langu. Hivi uber zinafika huko?
Nyumba ya ghorofa na apartment ni vitu viwili tofauti, rudi kwa mwenye nyumba akueleze vizuri kinachouzwa ni nini...Nyumba ya ghorofa (Apartmet)
inavutia, Bora na ya Kisasa.
vinavyochojitoshereza (masters), sebure kubwa
Eeenh unakunya huku unafua usicholewa nini sasaWashing machine chooni hapa sijaelewa.