House4Sale Tunauza na kupangisha nyumba za aina mbalimbali
Nyumba ama apartment? Msaki hauwezi kupata nyumba yenye yard yake kwa pesa hiyo. hiyo lazima ni apartment tu.
 
Nyumba ya ghorofa na apartment ni vitu viwili tofauti, rudi kwa mwenye nyumba akueleze vizuri kinachouzwa ni nini...

ndo maaa hizi kazi Lukuvi ilitaka zianze kufanywa na real estate lawyers badala ya ma mission town ambao hawajui kusoma na kuandika, what the hell is "sebure.... inajitoshereza" ????

mwambie mwenye nyumba abadilishe kitchen cabinets ili uweze kuona ndani, style ya mbao ni ya kizamani...

ma tiles ya Kichina na Kituruki ya kung'aa na kuteleza nayo ni cheap and terrible, niliwahi kutaka kuvunja mgongo sakafu ya CRDB Masaki, floor tiles za kishamba sana... Tiles zilizowekwa laundry room ni salama zaidi japo hazing'ai. I guess watu wanapenda ming'ao ming'ao ukitembea unaacha vivuli ndani ya nyumba.

Na hayo madirisha ya vioo chini mpaka juu kwa bongo inakuwaje kwenye usalama ? Sielewi inakuaje hapo.

Ceiling fan inakaa katikati, sio pembeni ya chumba. Vile vile kwa taa. Na pia ondoa choo hicho laundry room. Fanya modification kwanza ndio useme nyumba ni ya kisasa.

akifanya hayo yote dau litaongezeka pia, mwenye nia atanunua na kuiweka atakavyo.. simple.

maneno mengiii tu..
 
akifanya hayo yote dau litaongezeka pia, mwenye nia atanunua na kuiweka atakavyo.. simple.

maneno mengiii tu..
usi assume kwamba kila mtu hana dau... kuna watu wanataka quality, sio cheap and terrible things

maneno mengi mbona umeyasoma ?
 
usi assume kwamba kila mtu hana dau... kuna watu wanataka quality, sio cheap and terrible things

maneno mengi mbona umeyasoma ?
Bado nakalia niliyoandika earlier.. hata uwe na uwezo gani.. umechemka.. hayo ya dau utajijua.. muhimu ni mtu na mipango.. imebidi nicheke.. tulia omba ufunzwe..
 
Mkiambiwa tafuten pesa, muwe mnaelewa, na hizo ndizo nyumba anazotakiwa kuishi mtu na mwanaume[emoji23][emoji23][emoji23].

Just imagine umelala kwa bed kama lile na mdirisha ukikutizama uku hewa nzur na safi ikiwa imetanda room[emoji12].

Hizo stress unapataje sas?.

Tutafuten pesa jaman , kuishi dunian kama paradiso inawezekana kabisa
Tress kama kawa haijalishi upo wapi
 
Kama ya urithi aisee lete nitapambania mengine mm mwenyw
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Kweli kabisa. Nyie nikuoelekwa kwenye chumba self na sebule kule chanika. Kuna mtu anauza kiwanja million moja wacha nikachukie hicho. Ndio litakuwa chimbo langu. Hivi uber zinafika huko?
Sasa wee unadhan nan mjinga apelekwe ktk huo mjengo unaouzwa afu akae kizembe? Unapigisha limbwata tangu mwanaume had babu na bibi zake tena wa pande zote. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari...limbwata la nini tena jamani wee unatakiwa utoe uno na kumuheshimu jamaa rahisi kabisa jamaa anatangaza nia ya kuoa. Mnacomplicate mambo wakati mwanaume yeye anahitaji vitu hivyo viwili tuu umeshamteka.
 
Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 2000, cha pili kutoka Ufukwe wa Bahari ya Hindi, kina Hati Miliki, uzuri mwingine wa hiki kiwanja kimezungukwa na barabara 2 upande wa mbele na upande wa nyuma. Kinauzwa Tsh 750 milion maongezi.
Piga simu au whatsapp kupanga kukiona +255755312233


IMG_3900.PNG


IMG_3901.PNG


IMG_3902.PNG


IMG_3903.PNG


IMG_3904.PNG


IMG_3905.PNG
 
zinavutia, bora na za kisasa.
zina vyumba viwili na vitatu vya kulala vyote vinajitoshereza (self contained), jiko, pahala pa kulia chakula, sebule na sehemu za kupaki magari. Bei kuanzia TZS 350mil, 400mil na 450mil. Kuziona wasiliana nasi kwa kupiga piga simu/whatsapp +255755312233

PHOTO-2022-01-30-09-00-46.jpg


PHOTO-2022-01-30-09-01-51.jpg


PHOTO-2022-01-30-09-02-59.jpg


PHOTO-2022-01-30-09-03-00_1.jpg


PHOTO-2022-01-30-09-03-00_2.jpg


PHOTO-2022-01-30-09-03-00_3.jpg


PHOTO-2022-01-30-09-03-00_5.jpg


PHOTO-2022-01-30-09-03-00_6.jpg


PHOTO-2022-01-30-09-03-00_7.jpg


PHOTO-2022-01-30-09-03-00_8.jpg


PHOTO-2022-01-30-09-03-00.jpg
 
Dah! Kweli hapa duniani kuna watu wanaishi, na wengine ni wasindikizaji tu. Yaani milioni 750 ni bei ya kiwanja tu. Yaani hapo bado ujenzi na miundombinu mingine! ☹️
 
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, mahala pa kula, jiko na sebule. Nyumba ipo Karibu na Facebook, Karibu na kituo cha Mwendo kasi na daladala za kawaida. Kodi shs 900,000 kwa mwezi.

Kuiona au maelezo zaidi wasiliana nami kwa simu/ whatsapp +255755312233.

IMG_4195.JPG


IMG_4194.JPG


IMG_4196.JPG


IMG_4197.JPG


IMG_4198.JPG


IMG_4199.JPG


IMG_4200.JPG


IMG_4201.JPG


IMG_4202.JPG


IMG_4203.JPG
 
Nyumba ina vyumba vinne vya kulala (vyote self), mahala pa kula, jiko, stoo na sebule. Vyumba vitatu vya kulala vipi chini kimoja masta kipo juu na sebule yake. Kodi shs 1,200,000 kwa mwezi.

Kuiona au maelezo zaidi wasiliana nami kwa simu/ whatsapp +255755312233.

IMG_4217.JPG


IMG_4212.JPG


IMG_4213.JPG


IMG_4214.JPG


IMG_4215.JPG


IMG_4216.JPG


IMG_4218.JPG
 
Back
Top Bottom