Tofauti ni kuwa utazungukwa na majirani gani☺️milioni 400 napata kiwanja magomeni cha milioni 100 milioni 300 naangusha mjengo wa maana kama ikulu ya raisi... unaleta masikhara na pesa wewe..
Hii unapata nyumba yenye kiwanja kama hicho. Ana bei sana.Duh, milioni 400 mkuu?
Embu punguza bei basi
watu wanataka kupiga $50k zaidi
Hii ndiyo maana halisi ya udalali
Madalali huwa wanaishi vizuri!!watu wanataka kupiga $50k zaidi
Kama ni mwanaume aisee ...mbususu zitagegedwa mpaka basiKuna mtu ameshinda bahati nasibu usiku wa kuamkia leo, amepata £120m. Wanasema hii ni jackpot kubwa tangu kuanzishwa kwa lottery.
Kama ni mwanaume aisee ...mbususu zitagegedwa mpaka basi
Dalali kajipangia 50K ya kumpiga mteja bado hapo hajachukua pasenti zake kwa muuzaji