Nacheka nnafuraha masikini tunatoa mawazo tu tangazo liboreshwe hivi vile wakati wenye mijihela yao fasta wanakamata fursa. ππππ masikini bhana utatujua tu. Masikini mwenzetu mwingine babukijana umejitokeza na wewe. Masikini tupo wengi πππππWenye nafasi zao wanachukua, anakuuliza swali la msingi kabisa kinachokuchekesha nini,ww bado unacheka,huna hela waachie wenye nazo wachukue mzigo.
Ni bilioni 1 na chenchi kidogo utapata
Mi sina hiyo hela hapo, wala sijadili nna banda langu la kuuzia nyanya linantoshaNacheka nnafuraha masikini tunatoa mawazo tu tangazo liboreshwe hivi vile wakati wenye mijihela yao fasta wanakamata fursa. ππππ masikini bhana utatujua tu. Masikini mwenzetu mwingine babukijana umejitokeza na wewe. Masikini tupo wengi πππππ
Na ukiona hawaijui ununio then jua hata hela ya kununua nyumba hio watakua hawana.Ukisema Ununio watu wengi hawajui Ununio hiko wapi? Mkoa gani? Wilaya gani? Mtaa hupi? Huduma zipi za muhimu zipo katika mtaa huo na urahisi wa kuifikia
Na ukiona hawaijui ununio then jua hata hela ya kununua nyumba hio watakua hawana.
Mkuu angalia picha vizr shamba liko kwa nje na kama unataka maelezo zaidi ya picha,video nk unaweza kunichek WhatsApp no +255756060183Mkuu shamba lipo ndani ya chumba gani hapo....
Sidhani mkuu ila unajua ushauri wake ni mzuri maana kuna watu wako nje ya dsm na wanataka kuwekeza ila maeneo mengi ya mji hawayafahamu.Na ukiona hawaijui ununio then jua hata hela ya kununua nyumba hio watakua hawana.
Karibu sana mkuu hapa pia pana shamba zuri sana la kulimia nyanya nkMi sina hiyo hela hapo, wala sijadili nna banda langu la kuuzia nyanya linantosha
Ila nikiamua hiyo nachukua tu kimyakimya.
Mambo ya Nchi zilizoendelea haya mkuuHizi ramani huwa mnazitoaga wapi? Khaa!
Mkuu usijali kabisa kwani karama na moyo uliokuwa nao ni tofauti na wengine kila mtu naalivyojaliwa na Mungu.mimi binafsi nasema Mungu akubarikieNa wewe kweli utakuwa maskini manake mawazo yako yamekaa kimaskini maskini sana, manake wala sijui kilichokuchekesha hapo ni nini!
Wote waliotoa ushauri concern yao ni location na wala hakuna aliye-claim kwamba hawezi kununua kwa sababu hafahamu location, kwahiyo hoja yako kwamba "wenye pesa hata hawafikirii..." ni irrelevant!
Asante sana mkuu kwa ushauri huu nami natopokea na tupo pamoja kabisa.Nacheka nnafuraha masikini tunatoa mawazo tu tangazo liboreshwe hivi vile wakati wenye mijihela yao fasta wanakamata fursa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] masikini bhana utatujua tu. Masikini mwenzetu mwingine babukijana umejitokeza na wewe. Masikini tupo wengi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa mkuu ongeza bidii na Mungu awe dira yako kwani hakuna lisilowezekana chini ya Jua.waswahili tunasema mtafutaji hachokiDaa Magepu haya balaa,yaani Kuna mtu anauwezo wakutoa 850M cash wakati wengine hata 10k tuu kuipata ni kisanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume unajichekesha kwa kuweka vi-emoji vya kucheka cheka unakuwa Kama mjinga vile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye hii biashara wabongo mmebaki kutoa ushauri tu. Halafu jamaa dalali kwa upoole anapokea shauri zenu.
Dah ukiwa huna pesa bhana nyoko sana.
Una mawazo meeengi mazuri. Wenye pesa hata hawafikiriii. Mda wenyewe wakushauri hawana wako busy kutafta pesa zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hem na mi maskini mi nipite kushoto.
Ila kweli maskini anakuwaga na ushauri mwingi sana. Mtu kama una hela si ishu tu ya kuzama pm kwa jamaa mnaelekezana. Kweli kuna njia kibao za kumjua mlala hoiπππππππππππππππππππππ
Kwenye hii biashara wabongo mmebaki kutoa ushauri tu. Halafu jamaa dalali kwa upoole anapokea shauri zenu.
Dah ukiwa huna pesa bhana nyoko sana.
Una mawazo meeengi mazuri. Wenye pesa hata hawafikiriii. Mda wenyewe wakushauri hawana wako busy kutafta pesa zaidi.
ππππ hem na mi maskini mi nipite kushoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kinachonichekesha ni masikini Mimi na wewe tunaujaza huu Uzi halafu hatuna kitu.
Huhitaji kurudia kunitaja taja kwamba mi ni masikini kweli maana nshajisema kua mi nimasikini.
Kwa hiyo wewe ushafanya appointment na muuzaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah. Sasa huko private ulikofanya nae appointment si ndio ungemuuliza huko huko location iko wapi?
Au umeuliza hapa kwa faida ya sisi masikini wengine?
Anyways hongera na mijihela yako
Ununio ina kitu gani cha kuwafanya watu waijue!Na ukiona hawaijui ununio then jua hata hela ya kununua nyumba hio watakua hawana.
Tatizo la Dodoma ...watu wanaitengeneza ya kufikurika,Kisasa imekuzwa Kama vile Ni pazuuuri,ilhali Ni pa kawaida Sana...Elfu 85 unanunua viwanja 8 Ihumwa vikubwa na vizuri sana,au 6 Mlimwa C kwa Waziri mkuu ambako Ni kuzuri kuliko Kisasa.
Hiyo conclusion ni hatari kibiashara! Ni hatari kwa sababu Ununio sio mtaa bali ni kitongoji, na kwa maana hiyo Ununio ni kubwa!!Na ukiona hawaijui ununio then jua hata hela ya kununua nyumba hio watakua hawana.