SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.
Bei kwa sasa zimeshawekwa. Kazi kwenu wateja
Weka na bei zake tujue. .
 
Wakuu , kwa wale wa Dar mnaweza mkafanya malipo kwa njia ya instalments (yaani kuwekesha)

Unakuja dukani, unachagua kile kitu unataka halafu unalipia kidogo kidogo kwa muda tutakao kubaliana then baada ya kumaliza unachukua mzigo wako.

Kwa maelezo zaidi unaweza kuja dukani au tukaongea kwa simu.

Karibuni sana Wakuu
 
Nahitaji fridge ya bei ndogo kuliko zote hapo dukani kwako. Naomba na picha yake.
 
Nimeikubali bei yako iko poa sana, ila swali langu bado hujajibu. Je ina HDMI?
Mkuu kuwa makini na hizo sony, nyingi ni kopi sikuhizi. Ukitaka kuamini hilo angalia tu hio subwoofer na deki yake ilivyo.

Subwoofer ya Sony OG huwa ina kitovu katikati. Usipokiona hiko kitovu basi juwa unauziwa mziki feki. Hata kupiga haupigi bass sawasawa kama Original. Mi nmevalishwa hio theatre dav dz 650 iko hivyo hivyo.

Hakikisha mzigo ni made in malaysia.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…