SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.
Hiyo hapo mkuu
e41c9a68b9e2db23474c9ae278f05282.jpg
Friji la boss mlango mmja naomba pcha zko za nje na ndan plz
 
LG TV's

24" - 360,000
32" - 530,000
43" - 870,000
1. Je hii LG 43" ni smart TV??

2. Na kati ya hizi, ipi ina ubora mkubwa wa picha??
  • 43" - Mo Electronics
  • 43" - Star - X. TV's
  • 43" - TCL
  • 43" - LG
 
Mkuu kuwa makini na hizo sony, nyingi ni kopi sikuhizi. Ukitaka kuamini hilo angalia tu hio subwoofer na deki yake ilivyo.

Subwoofer ya Sony OG huwa ina kitovu katikati. Usipokiona hiko kitovu basi juwa unauziwa mziki feki. Hata kupiga haupigi bass sawasawa kama Original. Mi nmevalishwa hio theatre dav dz 650 iko hivyo hivyo.

Hakikisha mzigo ni made in malaysia.
Kitovu kipi hapo mkuu unachokisemea????
 
Mkuu kuwa makini na hizo sony, nyingi ni kopi sikuhizi. Ukitaka kuamini hilo angalia tu hio subwoofer na deki yake ilivyo.

Subwoofer ya Sony OG huwa ina kitovu katikati. Usipokiona hiko kitovu basi juwa unauziwa mziki feki. Hata kupiga haupigi bass sawasawa kama Original. Mi nmevalishwa hio theatre dav dz 650 iko hivyo hivyo.

Hakikisha mzigo ni made in malaysia.
Mkuu kwenye sony hapo hakuna kopi na unapata warranty ya miaka Miwili. Tatizo mnauziwa kopi kwa sababu mnapenda sana kupunguziwa bei , ukifika kariakoo ukalia sana shida mtu anachukua pesa yako ila anakupa kopy.
 
1. Je hii LG 43" ni smart TV??

2. Na kati ya hizi, ipi ina ubora mkubwa wa picha??
  • 43" - Mo Electronics
  • 43" - Star - X. TV's
  • 43" - TCL
  • 43" - LG
Mkuu Mwl.RCT

Hiyo LG 43" Sio smart.

Lakini pia watu wengi kwenye swala la Ubora wa picha tumetofautiana. Watu wengine husema LG au wengi wanaweza kukushauri LG lakini kwangu mm nijuavyo kama mtu nayeziuza, ubora wa picha hutokana na uwezo wa kitu na kwenye hizi brand tatu ulizo list hapo zinafanana kwa uwezo wa ubora wa picha.(HD LED TV).. Itategemeana tu na settings.

Hivyo kwa kukushauri hapo nakushauri TCL kwani ni HD LED na Pia ni Smart TV. na ni imara kutokana na feedback mbalimbali

Karibu sana Mkuu ukihitaji kitu chochote kutoka kwetu
 
Mkuu kwenye sony hapo hakuna kopi na unapata warranty ya miaka Miwili. Tatizo mnauziwa kopi kwa sababu mnapenda sana kupunguziwa bei , ukifika kariakoo ukalia sana shida mtu anachukua pesa yako ila anakupa kopy.
Copy zipo mkuu sema huzijui lbda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom