mdaharunga
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 413
- 401
Mimi nataka hiyo ya laki na 10Mkuu sabwoofer zinatofautiana bei.
Kuna za 65,000
85,000
100,000
110,000
Wewe tu useme unataka ipi au aina gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nataka hiyo ya laki na 10Mkuu sabwoofer zinatofautiana bei.
Kuna za 65,000
85,000
100,000
110,000
Wewe tu useme unataka ipi au aina gani
Friji la boss mlango mmja naomba pcha zko za nje na ndan plzHiyo hapo mkuu![]()
1. Je hii LG 43" ni smart TV??LG TV's
24" - 360,000
32" - 530,000
43" - 870,000
Air cooler unapata kwa Tshs - 280,000/-
Ni ya kisasa kabisa mkuu
hii inatumia nini? maana kuna zingine unatumia barafu,
![]()
![]()
Kitovu kipi hapo mkuu unachokisemea????Mkuu kuwa makini na hizo sony, nyingi ni kopi sikuhizi. Ukitaka kuamini hilo angalia tu hio subwoofer na deki yake ilivyo.
Subwoofer ya Sony OG huwa ina kitovu katikati. Usipokiona hiko kitovu basi juwa unauziwa mziki feki. Hata kupiga haupigi bass sawasawa kama Original. Mi nmevalishwa hio theatre dav dz 650 iko hivyo hivyo.
Hakikisha mzigo ni made in malaysia.
Mkuu kwenye sony hapo hakuna kopi na unapata warranty ya miaka Miwili. Tatizo mnauziwa kopi kwa sababu mnapenda sana kupunguziwa bei , ukifika kariakoo ukalia sana shida mtu anachukua pesa yako ila anakupa kopy.Mkuu kuwa makini na hizo sony, nyingi ni kopi sikuhizi. Ukitaka kuamini hilo angalia tu hio subwoofer na deki yake ilivyo.
Subwoofer ya Sony OG huwa ina kitovu katikati. Usipokiona hiko kitovu basi juwa unauziwa mziki feki. Hata kupiga haupigi bass sawasawa kama Original. Mi nmevalishwa hio theatre dav dz 650 iko hivyo hivyo.
Hakikisha mzigo ni made in malaysia.
Monito speakers ndio nini?Mkuu mimi naweza kupata monitor speakers.
Kwa uzoefu wangu Lg ndio kinara wao1. Je hii LG 43" ni smart TV??
2. Na kati ya hizi, ipi ina ubora mkubwa wa picha??
- 43" - Mo Electronics
- 43" - Star - X. TV's
- 43" - TCL
- 43" - LG
Mkuu Mwl.RCT1. Je hii LG 43" ni smart TV??
2. Na kati ya hizi, ipi ina ubora mkubwa wa picha??
- 43" - Mo Electronics
- 43" - Star - X. TV's
- 43" - TCL
- 43" - LG
Je ni kiasi gani?Mkuu unahitaji air cooler?
Kitovu kwenye speaker mzee,katikati ya spkr au hujui structure ya speaker inakuwaje?Kitovu kipi hapo mkuu unachokisemea????
Copy zipo mkuu sema huzijui lbdaMkuu kwenye sony hapo hakuna kopi na unapata warranty ya miaka Miwili. Tatizo mnauziwa kopi kwa sababu mnapenda sana kupunguziwa bei , ukifika kariakoo ukalia sana shida mtu anachukua pesa yako ila anakupa kopy.