Mkuu mimi sijaelewa swali lako ila hiyo DAV-DZ 950 Bei yake ni 885,000. Na ndio hiyo hapo kwenye picha au kama unataka picha na specifications zaidi unaweza kunitafuta au pia unaweza kugoogle.Mkuu hapa mwisho kabisa sijaelewa hii DAV DZ 950 bei yake ni pamoja na hizo za chini yake au?
Hyo 300k sipati?DAV-DZ 140. - 350,000/-
DAV-DZ 350 Price - 565,000
DAV-DZ 650 Price 680,000
DAV DZ 950 price 885,000
Bei ndio kama hvyo. Karibu sana mkuu.
Ila kwa bei za TV angalia kwenye list ya bei ya TV hapo juu, ya bei nafuu kabisa ni star-X , Hiyo TCL ni smart TV na samsung pia zipo.
Unaweza nicheki mkuu na karibu dukani au tukikubaliana bei naweza kukuletea pale mahali upo kama ni dar hii
Mara ya kwnz ulisema 330000 ishapanda tena mana nlkua nasbria pcha zake tu nioneMkuu nisamehe bure. Ila boss mlango mmoja bei yake ni 390,000.. picha nitakutumia mkuu. Samahani sana
Dah mkuu umedokeza issue muhim sana hebu tupia picha ya deki ya og mkuu utatusaidia sanaMkuu kuwa makini na hizo sony, nyingi ni kopi sikuhizi. Ukitaka kuamini hilo angalia tu hio subwoofer na deki yake ilivyo.
Subwoofer ya Sony OG huwa ina kitovu katikati. Usipokiona hiko kitovu basi juwa unauziwa mziki feki. Hata kupiga haupigi bass sawasawa kama Original. Mi nmevalishwa hio theatre dav dz 650 iko hivyo hivyo.
Hakikisha mzigo ni made in malaysia.
Mkuu biashara hii tumeifanya na watu wengi, na bado tunaendelea kuifanya kwa uaminifu mkubwa na uhakika.. na wala hata hatufahamiani na watu wala hatuhitaji kujuana ila tunatumiana pesa na mizigo kama kawaida.. KARIBU SANAUnafanya biashara na usiyemjua? Huoni kazi bure, Mimi Niko muleba naomba uniletee ndo nikutumie hela
Warranty ni muda gan?Hapana. Mwisho ni 350,000 mkuu.
Hii bei gan mkuu?Sea Piano hiyo ya ukweli
Habari zenu wakuu
Poleni na majukumu.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, sisi ni kampni inayoitwa PRIDE ELECTRONICS , Tupo kariakoo Dar es salaam na mipango ya kuenea mikoani ipo.
Tunauza bidhaa zote za electronics kwa jumla na rejareja. Pia unaweza kuchukua mzigo kwa staili ya kuwekesha , yaani unakuja dukani then unachagua kitu halafu unalipia kidogo kidogo mpaka pale utakapomaliza kwa mkataba maalum wa muda maalum
Brand zote zipo MO-ELECTRO, SONY,STAR-X, LG, SAMSUNG, VONHOTPOINT, HISENSE, BOSS, TCL,PANASONIC,SHARP na kadhalika na kadhalika
TCL TV's Smart
TCL Smart 32" - 520,000
TCL Smart 39" - 750,000
TCL Smart 43" - 850,000
TCL Smart 49" - 1,250,000
TCL Smart 55" - 1,500,000 4k
TCL Smart 55" Curve - 1,850,000
TCL Smart 65" 2,900,000 4K
TCL Smart 65" 3,100,000 4K
Samsung TV's
32" - 530,000
40" - 870,000
43" Smart TV - 1,350,000
49" Smart TV - 1,670,000
55" Smart TV - 2,490,000 4K
55" Smart TV Curve - 2,800,000 4K
65" 4K - 4,650,000
LG TV's
24" - 360,000
32" - 530,000
43" - 870,000
49" - 1,360,000
55" - 2,090,000
65" - 3,690,000 4K
Note: LG 40" hakuna
Star - X. TV's
24" - 290,000
32" - 410,000
43" - 730,000
49" - 1,030,000
SONY TV's
32" - 620,000
40" - 1,000,000
Mo Electronics
43" - 780,000
55" - 1,320,000
Vitron TV's
17" - 190,000
22" - 220,000
24" - 290,000
32" - 430,000
Karibuni sana sana sana
Number ya simu ni 0717016789
Hizo ni baadhi tu ya products za dukani kwetu. Unaweza kueleza hitaji lako na tukakupatia bei
0717016789