SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.
Je ni kiasi gani?
Naomba picha
Hivi karibuni nitakutembelea ili kuchukua bidhaa chache.

Ahsante sana.
Mkuu Mwl.RCT Unahitaji picha na Bei za TV au air Cooler? Kama ni bei za TV kama ulivyouliza mwanzo basi ni kama unavyoona hapa chini nimekupa list ya bei ya 43" brand mbalimbali

TCL Smart 43" - 850,000

Samsung 43" Smart TV - 1,350,000

LG 43" - 870,000

Star-X 43" - 740,000

Mo-electro 43" - 780,000

Na Air Cooler bei yake ni 280k kama hiyo inayoonekana kwenye picha hapo juu

Karibuni sana.
 
Majiko ya Umeme ya kisasa. Hayatumii umeme mwingi, yanatumia umeme kidogo sana. Bei yake ni 85,000. Karibuni sana
30c25d6f4b5dfca89eaf83d610de431e.jpg
8cc3c3a27be54e4e7b4d9a6b46326261.jpg
 
RECHARGABLE FAN.
Feni hii ya kisasa unaweza kuichaji kama simu na ikabakia ikiwaka baada ya huu umeme wetu wa kitanzania kukatika..

Feni hii pia ina Taa kama mnavyoona.

Jipatie feni hii kupambana na hili joto hasa la dar es salaam linaloendelea sasa hvi.

Karibuni sana.

Bei yake ni 120,000/- (RECHARGABLE Fan)
01e9a2a7e818cde36fdc6be8a93f3d33.jpg
 
Mashine ya Kufulia ya kisasa kabisa Kg 6

Bei yake ni 1,080,000
31cd5aa715e61f02c6b45204f6ff460f.jpg
 
Wakuu habari za asubuhi.
Kumekucha tena na karibuni kujipatia bidhaa mbalimbali
 
Jipatie Muziki mnene huu kwa bei poa ya 940,000

27956e4b416b437210b0668769a3c6c7.jpg



49e26538e6329f5c1e56cd83b5d88c91.jpg
2795839f5a22853ed1dd780928d2a1fb.jpg
 
Mashine ya kunyolea original kabisa , jipatie kwa 100,000
24f6af6eab279a1745eb67fb06090383.jpg
 
DAV-DZ 140. - 355,000/-
a665da738f7d49fde606a3b1bbb1410f.jpg




DAV-DZ 350 Price - 565,000
1a787adeb3f76212591a172782fe710d.jpg


DAV-DZ 650 Price 680,000
dd84828b7316003713c10fb4ca3960de.jpg
75f0e2a78a199f3922e1b3618b3840f1.jpg


DAV DZ 950 price 885,000
3b627d04a7ffc443beff95fb59da7fc1.jpg
3494e9ffee8da60561f3c734b740c232.jpg




Bei ndio kama hvyo. Karibu sana mkuu.
Mkuu hapa mwisho kabisa sijaelewa hii DAV DZ 950 bei yake ni pamoja na hizo za chini yake au?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom