Laki kwa zote nne na tairi zake.
Size 20 hio inavaa kwenye Kluger, Vanguard, harrier na gari za size hio kama Outlander, Grand Vitar
asante boss kuielewaSize 20 hio inavaa kwenye Kluger, Vanguard, harrier na gari za size hio kama Outlander, Grand Vitara!
Ningekuwa na mtonyo ningezichukua bila kujiuliza yani napenda sana rim za Spoke za wima sio ule ushoga wa offset! Ningekuja zitumia anytime in the future!
Mark X hio tire inaweza kaa ila itakuwa inasumbua sana yani πππ profile nzuri ni atleast /45...Hilo tairi ni /35 wembe sana yani!!!Sasa mshkaji anatuambia mark x pia inatumia 20, wakati inatumia 18. Anaijua kweli mark x uyu?
Present ofa yako huwezi jua jamaa pengine kwake ishu siyo mpunga ila anataka zitoke mbele ya upeo wa macho yake haraka sanaSize 20 hio inavaa kwenye Kluger, Vanguard, harrier na gari za size hio kama Outlander, Grand Vitara!
Ningekuwa na mtonyo ningezichukua bila kujiuliza yani napenda sana rim za Spoke za wima sio ule ushoga wa offset! Ningekuja zitumia anytime in the future!
Bei? Changamka twende kazi
pole boss mimi sio Muuzaji wa Rim niliagiza kwamatumizi yangu binafsi lakin Matundu hayaingliani20 kubwa mzee. 18 unazo?
Kuna boya kasema laki πππ nimecheka sana!Present ofa yako huwezi jua jamaa pengine kwake ishu siyo mpunga ila anataka zitoke mbele ya upeo wa macho yake haraka sana
Mark X hio tire inaweza kaa ila itakuwa inasumbua sana yani πππ profile nzuri ni atleast /45...Hilo tairi ni /35 wembe sana yani!!!
Mi hupendelea /55 ndio naona halina usumbufu kabisa.
π€£π€£π€£π€£Unatafuta matusi ya asubuhi asubuhi mzee π
Nahisi alikosea baada yahiyo Laki kunanamba alsahau kuwekaππKuna boya kasema laki πππ nimecheka sana!
pole boss mimi sio Muuzaji wa Rim niliagiza kwamatumizi yangu binafsi lakin Matundu hayaingliani
hapana boss wanguHii inaingia kwenye Nissan extray?
mkuu hiyo gari ni yako au umeazima?Hii inaingia kwenye Nissan extray?
Hahaha kweli mjomba πππ size 20 laki eti pamoja na matairi yakeNahisi alikosea baada yahiyo Laki kunanamba alsahau kuwekaππ
Hizo rim kwenye korongo au barabara mbovu experience yake ikoje?Size 20 hio inavaa kwenye Kluger, Vanguard, harrier na gari za size hio kama Outlander, Grand Vitara!
Ningekuwa na mtonyo ningezichukua bila kujiuliza yani napenda sana rim za Spoke za wima sio ule ushoga wa offset! Ningekuja zitumia anytime in the future!
Rim hazina tatizo kama utaweka tairi za /55 Ila hizo za /35 zinataka mwendo wa kibishoo ule!Hizo rim kwenye korongo au barabara mbovu experience yake ikoje?
Ni hiyo extray badala ya extrail ndio imekutoa ufahamu.....!!??mkuu hiyo gari ni yako au umeazima?
Tairi za nje huwa zinakuwa zimekauka. Sokoni izo imunaweza kuzinunua kwa buku 15 kwa moja.Unatafuta matusi ya asubuhi asubuhi mzee π
Topeni jauUkifunga 20 inapendeza sana, but iwe kwenye rami na sio barabara zetu za tope babaa π€£π€£
Hizo rim kwenye korongo au barabara mbovu experience yake ikoje?
hizo low profile usine ukapiga shimo, ndio utajua habari yakeSize 20 hio inavaa kwenye Kluger, Vanguard, harrier na gari za size hio kama Outlander, Grand Vitara!
Ningekuwa na mtonyo ningezichukua bila kujiuliza yani napenda sana rim za Spoke za wima sio ule ushoga wa offset! Ningekuja zitumia anytime in the future!
Rim size za Kruger ziwe za chuma shilingi ngap?Rim hii mtumba Size 20 inaingia kwenye Harrier,Alfard,Vanguard,Kluger,Mark X, Crown Athlete na Royal,Rummio
Iko Sokoni.Toa dau lako kwenye namba +255742662669 Either uchukue Rim tu au Rim na Tire.
nzuri sana ,good quality na guaranteed imeagizwa nje haikutosha kwenye Gari.
Atakaeielewa kwa Dar es Salam njoo ikague Kinondoni Studio,nje ya Dar es Salam tutakutumia
View attachment 1836400