Plot4Sale Tunauza viwanja, Mashamba, Nyumba katika maeneo mbalimbali Dar es Salaam


Motivation speaker, halafu proposal haiko hivyo[emoji28]
 
• Mahali: Makonde upande wa juu
• Bei: TZS 35,000,000
• Hadhi ya kiwanja: Kimepimwa
• Ukubwa wa kiwanja: 800 sqm
• Nyaraka: Barua Serikali ya Mtaa
• Kupelekwa kuona: TZS 20,000
.
Wa Makazi Brokers
In real estate we connect
Call/Watsap: +255767157788
.
kipo kwenye prime location • hudum za maji na umeme zipo
.
Mali zaidi kwa #makazi, #biashara au #viwanda, tembelea: Bestates Tanzania

 
Hizi tabia ya watu kutaka kupelekwa kuona unalipia hela Nahisi Kuna ujanja ujanja Kuna watu bunju wanaweka bei ya kiwanja 10mil halaf Mita chache toka road halaf kwenda kuona 30k inamaana wakijitokeza watu 5 tu dalali Ana 150k halaf wanamtindo ukiwa serious kesho yake unaambiwa kimeuzwa
 
Hizo ni gharama za uendeshaji.
Nitakosa nauli ya kukupeleka site.
Kumbuka site nyingine ziko mbali na kituo changu cha kazi kiasi kwamba inanigharimu kutwa nzima kuwa site. Sasa nikirudi nyumbani familia si watalala njaa?!
 
Chukua 5000 Kama hautojali
 
Hizo ni gharama za uendeshaji.
Nitakosa nauli ya kukupeleka site.
Kumbuka site nyingine ziko mbali na kituo changu cha kazi kiasi kwamba inanigharimu kutwa nzima kuwa site. Sasa nikirudi nyumbani familia si watalala njaa?!
Nadhani ingefaa zaidi kama ungeweka google maps marker ya eneo husika watu wangefika bila tatizo na usingehitaji kupata hizo gharama huku ukiwaepusha maelfu wanaoweza kupoteza 20000 zao na wasipate kiwanja. 20000 ni nyingi kiongozi.
Kwa atakayefanikiwa kufika hapo kwenye eneo achukue google maps marker atupostie hapa twende tukasaminishe eneo.
 
Aisee hii una maanisha nini?
Kiwanja kimepimwa
Nyaraka serikali ya mtaa
Hapa nimetoka kapa

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
 
• Mahali: Makonde upande wa juu, mita 100 kutoka Bagamoyo Road
• Bei: TZS 120,000,000
• Hadhi ya kiwanja: Hakijapimwa
• Ukubwa wa kiwanja: 500 sqm
• Nyaraka: Barua Serikali ya Mtaa
• Kupelekwa kuona: TZS 20,000
.
Wa Makazi Brokers
In real estate we connect
.
Sifa za Plot:
ina L shape • inatazama barabara ya lami ya mtaa • kuna nyumba ya vyumba v4 yenye wapangaji • nyumba inaingiza pato la Sh 700,000 kwa mwezi • parking ipo • ina uzio • huduma za maji na umeme zipo
.
Mali zaidi kwa #makazi, #biashara au #viwanda, tembelea: Bestates Tanzania
 
• Mahali: Bungoni Sharifu Shamba
• Nyumba: Vyumba vitano
• Ukubwa kiwanja: mita za mraba (sqm) 250
• Nyaraka: Hati
• Bei: TZS 180,000,000
.
Wa Makazi Brokers
In real estate we connect
Call/Watsap: +255767157788
.
kiwanja cha pili kutoka lami ya mtaa • pia panafaa ujenzi wa flat, ghala dogo, n.k • umeme na maji vipo
.
Mali zaidi kwa #makazi, #biashara au #viwanda, tembelea: Bestates Tanzania

 
• Holder: Bank
• Direction: Mbuyuni
• Price: TZS 580,000,000
• Plot area: 2,243 sqm
• Document: Title deed
.
Wa Makazi Brokers
In real estate we connect
Call/Watsap: +255767157788
.
• GROUND FLOOR
  • 3 Offices
  • 3 Residential units (with Room,Bedroom,Store& Washroom)
• GROUND LEVEL 2/1st FLOOR
  • Gym
  • 2 Warehouses
  • 2 Offices
  • Washrooms
  • Porch
• SECOND FLOOR
  • Function Hall
  • Offices
  • Washrooms
• THIRD FLOOR
  • Offices
  • Washrooms
.
Mali zaidi kwa #makazi, #biashara au #viwanda, tembelea: Bestates Tanzania

 
milioni 8 au 80.hebu fafanua
 
Ukisikiaa gorofa tatu linauzwa mitaa hyo hyo au mbelee mbelee huku KWA kichwaa ,kwa kapero au kwa mashaka na vinanee nishtuee sawaa dalali wa bunyokwaaa
 
• Mahali: Shule
• Bei: TZS 280,000,000
• Ukubwa wa Kiwanja: sqm 500
• Nyaraka: Hati ya wizara
.
Wa Makazi Brokers
In real estate we connect
Call: +255767157788
.
kuna fremu 5 na nyumba ndogo ndogo 4 • eneo lina wapangaji • linaingiza kiasi cha sh. milioni 2 kwa mwezi • eneo lipo jirani na soko • huduma zote zipo
.
Mali zaidi kwa #makazi, #biashara au #viwanda, tembelea: Bestates Tanzania

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…