• Mahali: Bonyokwa Center, ubavuni mwa Masia Hotel
• Bei: TZS 80,000,000
• Ukubwa wa kiwanja: 700 sqm
• Nyaraka: Mauziano serikali ya mtaa
• Hali ya Nyumba: Inahitaji rangi, kupachika choo cha master, kujenga bindo (verandah) la nyuma na kuvuta maji
.
Wa Makazi Brokers
In real estate we connect
Call/Watsap: +255767157788
.
• ni self ya vyumba vitatu, sebule, jiko, stoo na bindo la mbele. madirisha ni wavu na parking ya gari ipo
• kwenye maingilio kwa mbele imepakana na barabara ya Tanroad inayo wekewa lami hivi sasa
• kwenda Kariakoo - Mnazi mmoja au Muhimbili ni daladala 1 na nauli ni Sh 500
• pande 2 tayari zina uzio bado nyingine 2
• mfumo wa maji ya dawasa upo pembezoni mwa nyumba. umeme upo
.
Mali zaidi kwa makazi, biashara au viwanda, kununua au kupanga tembelea:
Bestates Tanzania
View attachment 2052568View attachment 2052569View attachment 2052570View attachment 2052571View attachment 2052572View attachment 2052574View attachment 2052576View attachment 2052577View attachment 2052578