hongeza bei kidgo mkuu mill18 bei rahisi sana tunashindwa
 
Mbona kama ipo porini sna mkuu
Hivi simba watakosekana hapo kweli
 
Shida hizi nyumba za kununua huwa na mambo mengi maana baadae utaambiwa msingi wa nyumba hii alizikwa mbuzi mzima mzima, au alizikwa mtu hapo.... hahahaaa nyumba jenga mwenyewe achana na kununua nunua ni kujitia nuksi tuuu
 
Shida hizi nyumba za kununua huwa na mambo mengi maana baadae utaambiwa msingi wa nyumba hii alizikwa mbuzi mzima mzima, au alizikwa mtu hapo.... hahahaaa nyumba jenga mwenyewe achana na kununua nunua ni kujitia nuksi tuuu
ukiwa na imani hii mkuu, itakuwa shida kuishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…