impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
Ni mashambani tu hakuna watu wamejenga?Chanzo cha maji ni mto,kuna bwawa kubwa la asili lenye maji muda wote ,hayajawah kukauka,yanatoka mto Ruvu,ukiwa unatokea dar upande wa kushoto ,sio upande wa kwenda Bagamoyo,kama unaenda mzenga,gari linafika mpaka Shambani mkuu