uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
- Thread starter
- #381
Hakuna mkoa usikua na uchawi,ata hivyo kule Sasa panamuingiliano wa watu wa makabila mengi sio Kama zamani,Vipi uchawi wamepunguza huko cku hiz??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mkoa usikua na uchawi,ata hivyo kule Sasa panamuingiliano wa watu wa makabila mengi sio Kama zamani,Vipi uchawi wamepunguza huko cku hiz??
Ndio mkuu,Kuna majirani wamejengaPanaruhusiwa kujenga makazi ya kudumu?
Vipi mazao gan yanastawi huko
mahindi,nanasi,mihogo,viazi lishe,mbaazi,embe za kisasa na machugwa,pia miti ya mitikiVipi mazao gan yanastawi huko
KaribuSafi
Njoo tuzungumzePunguza bei kwa eka 1
Poa poa nakuja pmNjoo tuzungumze
Sawa mkuuPoa poa nakuja pm
Nguruwe unafuga Safi kabisa,laki tano unaua mkuu,chukua la laki mbili na nusu Ila sio iliNguruwe wanaruhusiwa kufugwa huko? Kwa laki tano tano nachukua eka zote, niDM
Pm umefunga,utanichekiNguruwe wanaruhusiwa kufugwa huko? Kwa laki tano tano nachukua eka zote, niDM
Hapana mkuu,sio lazima zote,ata mbiliUnaanzia kuuza ekari mbili? Au lazima mnunuzi anunue ekari zote?
Naitaji ekari mojaHapana mkuu,sio lazima zote,ata mbili
Nimekutumia namba mkuu,angalia pmNaitaji ekari moja