Tunauza Viwanja na Mashamba Chalinze na Dar Es salaam
Unaanzia kuuza ekari mbili? Au lazima mnunuzi anunue ekari zote?
 
Shamba Hekari saba linauzwa maeneo ya Kibaha Mlandizi. Kila hekari moja inauzwa shilingi milioni mbili. Shimba lipo umbali wa KM 5 kutoka Morogoro Road.

Shamba lipo pembeni ya shule na linafaa kwa makazi, kilimo, ufugaji na viwanda.

Shamba lipo karibu na kiwanda cha Nondo Kiluwa.

Mawasiliano: 0787 891516

IMG_20191215_105146_1.jpg
IMG_20191215_110233_6.jpg
IMG_20191215_105549_6.jpg
 
Back
Top Bottom